MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI UWEKAJI JIWE LA MSINGI LA UKARABATI MKUBWA WA RELI YA TAZARA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema ukarabati wa reli ya TAZARA utaimarisha Ukanda wa Kati na Kusini, kuchochea biashara Tanzania, Zambia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Bara la Afrika kwa ujumla. Makamu wa Rais amesema hayo…