NGORONGORO YAENDELEA KUTOA ELIMU YA UHIFADHI SHIRIKISHI NA KUHAMASISHA UTALII MASHULENI.

Na Mwandishi Wetu, Karatu Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendelea na programu ya kutoa elimu ya uhifadhi shirikishi na kuhamasiha utalii wa ndani kwenye shule mbalimbali ambapo leo tarehe 20 Novemba, 2025  watumishi wa Mamlaka hiyo wametembelea Shule ya Sekondari Banjika iliyopo Karatu  Mkoani Arusha. Katika ziara hiyo, wataalam wa uhifadhi na utalii walitoa elimu…

Read More

DKT MAPANA ATEULIWA N/KATIBU MKUU MAENDELEO YA VIJANA

…………… Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wawili (2).  Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Dkt. Kedmon Elisha Mapana, ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana.  Kabla ya uteuzi huu, Dkt. Mapana alikuwa Katibu Mtendaji,…

Read More

Joshua azikwa, mwanafunzi mwenzake asimulia alivyonusurika mashambulizi ya Hamas

Simanjiro. Mwanafunzi mwenzake wa Joshua Mollel aliyekuwa naye Israel amesimulia jinsi alivyonusurika na mashambulizi ya mabomu ya kikundi cha wapiganaji wa Hamas, kwa kuishi ndani ya handaki kwa siku tatu. Ezekiel Kitiku, aliyekuwa miongoni mwa wanafunzi 260 waliokuwapo Israel, amesema anamshukuru Mungu kwa kunusurika katika tukio hilo. Kitiku, mhitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha…

Read More

Mpolandi kuongoza majaji 14 kumsaka mshindi zao la Kahawa

Mbeya. Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB) kwa kushirikiana na wadau wengine wa zao hilo, wameandaa shindano la kutafuta kahawa bora kutoka mikoa 16 nchini inayolima zao hilo ikiwa ni kuhamasisha wakulima kuzalisha kwa ubora. Mashindano hayo yanafanyika jijini Mbeya, yakishirikisha sampuli zaidi ya 70 ambapo majaji 15 kutoka ndani na nje ya nchi chini ya…

Read More

Kwa nini Tanzania inapaswa kuwa makini kulinda mafanikio ya afya ya uzazi

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya ya uzazi nchini Tanzania, wameitaka Serikali kuchukua tahadhari kubwa kabla ya kuridhia Mkataba wa Makubaliano (MOU) unaopendekezwa na Serikali ya Marekani, ambao kwa sasa unajadiliwa katika nchi kadhaa za Afrika. Ingawa hati ya mkataba huo bado haijatolewa hadharani, taarifa kutoka kwa wataalamu wa kikanda zinaashiria unaweza kuweka masharti yanayoweza…

Read More

Ceassia kushusha mashine tatu WPL

KOCHA Mkuu wa Ceassia Queens ya Iringa, Ezekiel Chobanka amekiri kikosi cha timu hiyo kipo katika wakati mgumu baada ya kuanza vibaya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), huku akianza hesabu za mapema za usajili wa dirisha dogo akilenga kushusha mashine tatu za maana. Ceassia imeanza vibaya ligi hiyo baada ya kupoteza mechi mbili za awali…

Read More

Lishe inavyotajwa kipaumbele kukuza ufaulu shuleni

Dar es Salaam. Wakati maadhimisho ya siku ya lishe kitaifa yakitarajiwa kufanyika kesho Novemba 21, 2025 mkoani Ruvuma, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imesema wanafunzi wa shule za msingi wanaopata chakula cha mchana wanafanya vizuri kwenye masomo ikilinganishwa na wanaoshinda njaa. Imewasisitiza wazazi na walezi nchini kushiriki katika michango ya lishe mashuleni ili…

Read More