WAZIRI KAPINGA AHIMIZA KUKUA KWA BIASHARA ILI KUWAWEZESHA VIJANA
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, akizungumza mara baada ya kukabidhiwa Ofisi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo Dkt.Selemani Jafo,hafla iliyofanyika leo Novemba 20,2025 katika Ofisi za Wizara zilizopo Mtumba jijini Dodoma. Na.Alex Sonna-DODOMA WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amesema dhamira ya Serikali ni kuhakikisha Watanzania, hususan vijana, wanapata maendeleo kupitia ukuaji…