BENKI YA NCBA YAPANDA MITI 11000
Ferdinand Shayo ,Arusha . Benki ya NCBA imeshiriki zoezi la kupanda miti ya asili 11000 katika eneo la Olkokola Wilayani Arumeru Mkoani Arusha kwa kushirikiana na shirika la Kijani Pamoja kwa lengo la kuhakikisha uoto wa asili unarejea na kutimiza adhma ya Benki hiyo kupanda miti milioni 10 ifikapo mwaka 2030. Akizungumza katika Zoezi la…