Straika Mnigeria ampa Sowah maujanja

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Stand United, Mbeya City na Pamba, Abasirim Chidiebere amemsifu nyota wa Simba, Jonathan Sowah akiamini straika huyo atafanya vizuri kama atashikilia hapo alipoanzia. Hata hivyo, Chidiebere alimtahadharisha Sowah raia wa Ghana, kuhakikisha kila nafasi anayoipata afunge mabao ili kuwa na makali na tishio katika ligi. Chidiebere ambaye ni raia wa Nigeria,…

Read More

Ajibu afichua jambo kwa Tshabalala

KIUNGO Mshambuliaji wa KMC, Ibrahim Ajibu amemtabiria makubwa nahodha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anakipiga Yanga, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ atafanya vizuri katika timu hiyo kutokana na ubora alionao. Tshabalala amejiunga na Yanga akitokea Simba mwanzoni mwa msimu huu na tayari ameingia katika mfumo akianza kucheza kikosi cha kwanza. Akizungumza na Mwanaspoti, Ajibu amesema…

Read More

Ajibu: Tshabalala? Yanga ilikuwa lazima!

KIUNGO Mshambuliaji wa KMC, Ibrahim Ajibu amemtabiria makubwa nahodha wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anakipiga Yanga, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ atafanya vizuri katika timu hiyo kutokana na ubora alionao. Tshabalala amejiunga na Yanga akitokea Simba mwanzoni mwa msimu huu na tayari ameingia katika mfumo akianza kucheza kikosi cha kwanza. Akizungumza na Mwanaspoti, Ajibu amesema…

Read More

Chippo akomalia nidhamu Mtibwa Sugar

BAADA ya uongozi wa Mtibwa Sugar kumtambulisha Mkenya Yusuf Chippo kwa ajili ya kukiongoza kikosi hicho kwa msimu huu wa 2025-2026, kocha huyo amekutana na kuzungumza na wachezaji wote wa timu hiyo, huku akiwataka kuzingatia zaidi nidhamu. Chippo aliyeachana na Murang’a SEAL ya kwao Kenya tangu Agosti 21, 2025, amejiunga na timu hiyo kwa ajili…

Read More

Simu janja si chombo cha mawasiliano tu bali ni sehemu ya maisha ya kila siku.

 Samsung Galaxy A07 simu janja, Maridadi na Yenye Nguvu Teknolojia inaendelea kukua kwa kasi, na kupitia Samsung Galaxy A07 mpya, Watanzania sasa wanaweza kufurahia simu ya kisasa inayochanganya ubora wa muonekano, utendaji wa nguvu, na bei rafiki kwa kila mtumiaji. Samsung Electronics East Africa-wanaofahamika duniani kwa ubunifu na ubora-wameileta Galaxy A07 ili kuwapa watumiaji ladha…

Read More

TAMTHILIA YA NICE TO MEET YAMDONDOSHA TUSA MSIMU WA PILI

WADAU wa Filamu nchini wanapaswa Kupewa moyo kwa Watayarishaji kuhakikisha wanatengeneza Kazi zenye Viwango na weledi ili kuendelea kulipa hadhi soko la filamu Kimataifa na Kunyanyua vipaji mbalimbali. Akizungumza kauli hiyo Msanii chipukizi ambae pia ni ingizo jipya Munirah pendeza marufuku kama Tusa ndani ya filamu ya “Nice to Meet you “amesema Kwa sasa Wadau…

Read More