Dk Ashatu awahakikishia watalii Tanzania ni salama

Arusha. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji, amesema kuwa Tanzania ni salama na kuwakaribisha watalii kutoka nchi mbalimbali ili kujionea vivutio mbalimbali. Dk Kijaji ambaye ameongozana na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dk Hassan Abbas,wako jijini Arusha,wakitembelea hifadhi mbalimbali kujiunza na kujionea shughuli…

Read More

Ulega akemea uharibifu taa za barabarani Arusha

Arumeru. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amewataka wananchi wa Wilaya ya Arumeru kutunza miundombinu ikiwemo taa za barabarani na kwamba ni aibu kuharibiwa kwa miundombinu hiyo inayomnufaisha kila mtumiaji wa barabara. Aidha, amemwagiza Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Arusha, Mhandisi Reginald Massawe, kufunga taa za barabarani katika eneo la Malula lenye…

Read More

Hati ya Ekari 62,000 Yakabidhiwa kwa Mradi wa Dola Milioni 640 wa Kilimo Biashara Kilwa

Na Avila Kakingo, Michuzi Tv  SERIKALI imekabidhi hati isiyo asili (derivative title) kwa Kampuni ya Pan Tanzania Agriculture Developments Ltd kama hatua muhimu ya kuimarisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kilimo na kuongeza thamani ya ardhi inayotumika kwa shughuli za uzalishaji. Hati hiyo wamekabidhiwa na  Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania…

Read More

Serikali yatenga Sh1 trilioni kwa ajili ya watu wenye ulemavu

Dodoma. Serikali imetenga zaidi ya Sh1 trilioni kwa ajili ya kuwawezesha watu wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika uchumi kupitia fursa za zabuni za umma, hatua inayolenga kuinua makundi maalumu nchini. Kauli hiyo imetolewa leo Novemba 29, 2025 jijini Dodoma na Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Remija Salvatory,…

Read More

Vijana waeleza matumaini yao kuanzishwa kwa Wizara ya Vijana

Mbeya. Wahitimu wa Chuo cha Biashara (CBE) wamepongeza uwapo wa Wizara ya Vijana wakitaja kuwa suluhisho la changamoto zao huku wakishauri mambo yatakayosaidia kumaliza tatizo la ajira na kuweka ustawi bora wa kundi hilo. Rais Samia Suluhu Hassan alitangaza kuunda wizara hiyo huku Joel Nanauka akiteuliwa kuwa Waziri katika wizara hiyo na tayari amefanya ziara…

Read More

Chadema yamlilia mbunge wake wa zamani

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeungana na familia kuomboleza kifo cha Naomi Kaihula, aliyewahi kuwa mbunge kupitia chama hicho. Kaihula, ambaye ni mama mzazi wa mwanamuziki wa Hip Hop, Gwamaka Kaihula maarufu King Crazy GK amefariki dunia usiku wa kuamkia Novemba 28, 2025, akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). …

Read More

Mradi wa Sh1.57 trilioni kuwezesha wakulima Lindi

Dar es Salaam. Wakulima zaidi ya 10,000 kutoka vijiji vinne vya wikaya ya Kilwa wanatarajiwa kunufaika na soko la uhakika baada wa mradi wa kilimo wenye zaidi ya thamani ya Sh1.57 trilioni kuanza utekelezaji. Mradi huo unakwenda kutekelezwa baada ya mwekezaji Pan Tanzania Agriculture Developments Ltd. ambayo kukabidhiwa hati ya ardhi isiyoasili ili aweze kufanya…

Read More

Latra yasisitiza nidhamu kwa waendesha bodaboda, bajaji

Dar es Salaam. Waendesha pikipiki na bajaji nchini wametakiwa kuongeza nidhamu katika utoaji wa huduma ili kuimarisha usalama na utaratibu wa usafiri mijini na vijijini. Endapo nidhamu haitazingatiwa, kuna uwezekano baadhi ya maeneo ya miji mikuu ikawekewa zuio la kuendesha huduma hizo katikati ya jiji. Hayo yamebainishwa leo Novemba 29, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa…

Read More

‘Ruska kuanzisha makumbusho binafsi’ | Mwananchi

Dar es Salaam. Makumbusho ya Taifa ya Tanzania imewataka Watanzania kuchangamkia nafasi ya kuanzisha makumbusho binafsi, hatua inayolenga kupanua wigo wa kuhifadhi na kutangaza urithi wa Taifa, ilimradi taratibu za kisheria zinafuatwa. Wito huo ulitolewa jana Novemba 28, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa, Dk Noel Lwoga, wakati wa ziara ya waandishi wa…

Read More