Wananchi wapiga mawe gari ya Zimamoto, DC aingilia kati

Shinyanga. Novemba 19, 2025 saa 12 jioni nyumba yenye makazi ya watu na biashara iliyopo maeneo ya Mnara wa Voda, mkoani Shinyanga iliteketea kwa moto. Wananchi walifanikiwa kuuzima moto huo wakidai gari la zimamoto lilichelewa kufika eneo la tukio na kuchukua hatua ya kulishambulia kwa mawe. Wakizungumza Novemba 19, 2025 baadhi ya mashuhuda na waathirika…

Read More

Mume adaiwa kumuua mkewe naye ajiua kwa sumu Geita

Geita. Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Maria Salvatory mkazi wa Kitongoji cha Bugoma,Kijiji cha Kilombero,Kata ya Lwamgasa Wilaya ya Geita amefariki baada ya kudaiwa  kushambuliwa na mumewe Mayala Juma, kwa kitu butu kichwani na kuchomwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa katika mitandao ya Jeshi la…

Read More

Kusimama kwa shughuli na athari zake kwa wamachinga

Wajasiriamali wa mitaani katika miji mbalimbali nchini ni kundi muhimu la wafanyabiashara ndogondogo katika jamii zetu. Mapema asubuhi utaona wamebeba bidhaa zao njiani, wakiuza maji ya chupa, nguo, matunda, juisi, korosho, na mengine, utawakuta pembezoni ya barabara au kandokando ya maeneo yenye shughuli nyingi mfano maduka, masoko, au vituo vya mabasi. Kipato chao ni kile…

Read More

Baada ya kufanyiwa upasuaji, Camara avunja ukimya

KIPA namba moja wa Simba, Moussa Camara amefanyiwa upasuaji salama huko Morocoo, huku mwenyewe akivunja ukimya kwa kukiri haikuwa rahisi kwake kukubali uamuzi huo kwa hofu aliyokuwa nayo awali, lakini akituma salamu kwa nyota wa Simba kuelekea mechi za CAF. Camara aliyeongeza mkataba wa mwaka mmoja unaomalizika mwishoni mwa msimu huu, jana Novemba 18, 2025…

Read More