Tahadhari muhimu mauzo ya dhahabu yakizidi kupaa
Dar es Salaam. Dhahabu imeendelea kuwa moja ya chanzo kikubwa cha kuuingizia Tanzania fedha za kigeni baada ya mauzo yake kufikia Sh10.82 trilioni katika mwaka ulioishia Septemba 2025, Ripoti ya Benki Kuu inaeleza (BoT). Ripoti hiyo ya tathmini ya kila mwezi inaonyesha kuwa mauzo hayo ni ongezeko kutoka Sh7.97 trilioni iliyokuwapo kipindi kama hicho mwaka…