ITA yawataka viongozi kuimarisha ukusanyaji wa rasilimali za ndani
CHUO cha Utawala wa Kodi (ITA) kimewataka watunga sera, viongozi na wataalamu kuongeza nguvu katika kuboresha ukusanyaji wa rasilimali za ndani ikiwa ni hatua muhimu katika kufanikisha maendeleo jumuishi, endelevu na ya kudumu. Wito huo umetolewa leo Novemba 19, 2025 jijini Dar es Salaam na Naibu Mkuu wa ITA anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri, Dkt….