TEF YAMPONGEZA MAKAMU MWENYEKITI WAKE KUTEULIWA MKURUGENZI IKULU
………….. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limempongeza Bakari Steven Machumu kwa kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu. Machumu ambaye hadi uteuzi wake alikuwa Makamu Mwenyekiti wa TEF ni mchapa kazi, anajituma, ana ujuzi, uzoefu na weledi wa hali ya juu katika tasnia ya habari. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF),…