Mazingira yamempeleka Yondani visiwani | Mwanaspoti

BEKI wa kimataifa wa zamani wa Simba, Yanga na Taifa Stars, Kelvin Yondani anayekipiga kwa sasa New King iliyopo Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) amefichua sababu zilizomfanya aibukie huko kuwa ni kutaka kubadili mazingira kutokana na kushindwa kutoka nje ya nchi enzi zake akiwa katika ubora. Nahodha huyo wa zamani wa Jangwani, aliyewahi pia kukipiga…

Read More

Mavitu ya Mangalo yamkosha Mkenya

KOCHA wa Pamba Jiji, Mkenya Francis Baraza amesifu kiwango kinachoonyeshwa na beki wa kati wa kikosi hicho, Abdulmajid Mangalo tangu ajiunge na timu hiyo Agosti 7, 2025 licha ya kukaa nje ya uwanja kwa msimu mzima akiuguza majeraha yake. Beki huyo amerejea tena baada ya kukaa nje ya uwanja kwa msimu mzima, kufuatia majeraha ya…

Read More

CRDB yaorodhesha Sukuk ya Kiislamu soko la hisa Dar

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imetangaza mafanikio ya kihistoria baada ya kuiorodhesha rasmi hatifungani yake inayofuata misingi ya Sharia ya Kiislamu, CRDB Al Barakah Sukuk, katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hatifungani hiyo imevunja rekodi kwa kukusanya Sh125.4 bilioni sawa na asilimia 418 ya lengo, pamoja na Dola 32.3 milioni za…

Read More

MAKAMU WA RAIS DKT.NCHIMBI AMUWAKILISHA RAIS DKT.SAMIA UWEKAJI JIWE LA MSINGI/UKARABATI RELI YA TAZARA NCHINI ZAMBIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Jijini Lusaka nchini Zambia leo Novemba 19, 2025. Makamu wa Rais anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Uzinduzi wa Ukarabati Mkubwa wa Reli ya…

Read More

Tchekei: Huko Algeria, nyie subirini muone!

KIUNGO mshambuliaji wa Singida Black Stars, Marouf Tchakei, amesema wanatambua ugumu wanaoenda kukutana nao mbele ya CR Belouizdad ya Algeria katika mechi  ya kwanza ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini amewataka mashabiki wasubiri waone kitakachotokea huko. Tchakei alisema Singida imeenda Algeria ikiwa imara na lengo kuu ni kutaka kuanza mechi hizo za makundi…

Read More

MAKAMU WA RAIS AWASILI NCHINI ZAMBIA KUSHIRIKI UWEKAJI JIWE LA MSINGI UKARABATI WA RELI YA TAZARA

…………………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Jijini Lusaka nchini Zambia leo Novemba 19, 2025. Makamu wa Rais anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Uzinduzi wa Ukarabati Mkubwa wa Reli…

Read More

RIJKAARD: Kocha mwenye siri za Fei Toto

SAFARI ya mafanikio huanza kwa maumivu kwa sababu kila hatua ya ukuaji inahitaji uvumilivu, kujitolea na kupambana na changamoto. Maumivu hayo ndiyo yanayomtengeneza mtu kuwa imara, kufundisha nidhamu na kumpa thamani ya anachopata baadaye, lakini ndani ya kila uchungu kuna nguvu ya kumuinua, kumtengeneza na kumuandalia ushindi. Hali hiyo inaikumbusha jamii ya wanamichezo kiungo mshambuliaji…

Read More