BOT YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI KUTOKA MIKOA MITANO

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeendelea kusisitiza majukumu yake ya msingi katika kulinda uthabiti wa uchumi wa nchi kwa kuboresha mifumo ya malipo, kusimamia taasisi za kifedha na kuhakikisha mazingira salama kwa wananchi katika shughuli zao za kifedha. Aidha, imehimiza wananchi kujenga utamaduni wa kutunza fedha na kuwa na matumizi bora ili kupunguza uwepo wa…

Read More

Washtakiwa 79 kati ya 191 wa uhaini Arusha wapandishwa kizimbani tena

Arusha. Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imeahirisha kesi tatu zinazowakabili washtakiwa 79 wanaokabiliwa na makosa ya kula njama ya kutenda kosa na uhaini, kutokana na upelelezi wake kutokukamilika. Aidha upande wa Jamhuri umeieleza Mahakama kuwa unaendelea na upelelezi ili waweze kufanya uchambuzi kwa washtakiwa ambao watakutwa hawahusiki na tuhuma hizo waweze kuachiwa kama ilivyoelekezwa na Rais…

Read More

Meridianbet Yazidi Kupaa Kwa Kuwaongeza Aspect Gaming na Superspade Games

DUNIA ya kasino mtandaoni inazidi kupendeza, na Meridianbet inaendelea kuwa kinara katika kuleta ubunifu na burudani isiyo na mipaka. Safari hii, jukwaa hilo linaendeleza ubora wake kwa kuwakaribisha watoa huduma wawili wakubwa, Aspect Gaming na Superspade Games, wanaokuja na michezo ya kiwango cha juu inayochochea msisimko kwa wapenzi wa kasino kote nchini. Aspect Gaming inakuja…

Read More

MAKUMBUSHO YA JIOPAKI, FURSA YA KUJIFUNZA HISTORIA YA SAYANSI NA MAZINGIRA.

Makumbusho ya kisasa ya Jiopaki ya Ngorongoro-Lengai (Urithi Geo Museum) iliyoko Karatu Mkoani Arusha ni zao jipya la utalii ambapo pamoja na mambo mengine inatoa fursa ya kujifunza historia ya sayansi na mazingira kwa wanafunzi wanaotembelea makumbusho hiyo. Wadau mbalimbali wameendelea kutembelea makumbusho hiyo ambapo leo tarehe 19 Novemba, 2025 wanafunzi na walimu  kutoka shule…

Read More

Mahakama yaagiza mtuhumiwa wa uhaini apewe matibabu

Dodoma. Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imeagiza mshtakiwa namba 18 katika kesi ya makosa ya uhaini, Mansoor Omarin, kuendelea kupatiwa matibabu ya jeraha la mguu ili kurejesha afya yake katika hali ya kawaida huku akiendelea kushikiliwa mahabusu. Omarin na wenzake 17 walifikishwa mahakamani leo, Jumatano Novemba 19, 2025, mbele ya Hakimu Mkazi Getrude Missana kwa…

Read More

Wadau wataja ilikojificha tabasamu ya Watanzania

Dar es Salaam. Wadau mbalimbali nchini wameeleza matarajio yao kwa Serikali kuhusu hatua wanazotamani kuona ikizichukua ili kujenga Taifa lenye furaha na kuwaletea wananchi tabasamu la kudumu. Maoni hayo yanakuja siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa kauli inayosisitiza dhamira yake “ya kuona Serikali anayoiongoza inakumbukwa kwa tabasamu litakalokuwepo kwenye nyuso za Watanzania.”…

Read More

WFP yalia kukosa pesa za kuwalisha wenye njaa

Dar es Salaam. Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema upungufu mkubwa wa ufadhili unalifanya kushindwa kuwafikia hata theluthi moja ya watu milioni 318 wanaotazamiwa kukabiliwa na njaa kali ifikapo mwaka  2026. Kwa mujibu wa WFP, idadi ya watu wanaokabiliwa na njaa kali imeongezeka kwa zaidi ya mara mbili tangu 2019, kutokana na mchanganyiko…

Read More