TUMEKUJA KUTIMIZA NDOTO YA RAIS SAMIA YA KULIJENGA TAIFA- MHE. CHANDE
Na Mwandishi wetu – Dodoma Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Hamad Chande (Mb) ameitaka menejimenti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kutoa ushirikiano katika kutimiza ndoto za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kulijenga Taifa. Ameyasema hayo katika kikao na menejimenti ya Wizara hiyo kilichofanyika Mtumba jijini…