Kapinga:Tutaendelea kutoa ushirikiano kwa TanTrade katika kukuza biashara nchini.

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith  Kapinga, amesema kuwa wataendelea kuipa ushirikiano i Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) ili kukuza biashara nchini. Hata hivyo ameipongeza TanTrade   kwa utendaji wake  katika kuendeleza masoko ya bidhaa na huduma zinazozalishwa ndani ya nchi kupitia maonesho ya biashara na misafara ya kibiashara ya kimataifa….

Read More

Watano wajitokeza kuwekeza uwanja wa Sabasaba

Dar es Salaam. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) inaendelea kuwafanyia tathmini wawekezaji watano waliojitokeza kufanya uendelezaji wa Uwanja wa Maonyesho wa Mwalimu Julius Nyerere maarufu Sabasaba. Wawekezaji kutoka mataifa ya China, India, Dubai na Holland wameonyesha nia ya kuwekeza katika miradi tofauti kati ya tisa iliyopangwa kutekelezwa ndani ya uwanja huo kupitia mfumo…

Read More

Vita umeya yahamia katika kura za maoni

Dar es Salaam. Hatima ya majina ya watakaoteuliwa kuingia katika kinyang’anyiro cha umeya wa manispaa na majiji nchini, inatarajiwa kujulikana kesho, Novemba 30, 2025 siku ambayo zitapigwa kura za maoni. Kura zitakazopigwa zitapitisha jina moja kati ya wagombea kadhaa watakaoteuliwa na vikao vya kitaifa vya Chama cha Mapinduzi (CCM), kugombea umeya na lingine kwa ajili…

Read More

DR LWOGA ASISITIZA WATANZANIA KUTEMBELEA MAKUMBUSHO

Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dkt Noel Lwoga akizungumza na wanahabri akielezea kuhusu ziara ya program maalum ya Dar City Tour ambayo imefanyika jijini Dar es salaam. Afisa Muhifadhi Kutoka Makumbusho ya Taifa Justine Nkungwe akiwaeleza wanahabari maeneo ya kihistoria wakati wa ziara ya program maalum ya Dar City Tour ambayo imefanyika  jijini Dar…

Read More