TARURA YABORESHA MIUNDOMBINU KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI

:::::::::: Belem, Brazil Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) inaendelea kuimarisha usimamizi wa mazingira kwa kujenga miundombinu thabiti ikiwemo madaraja ili kukabiliana na athari za mafuriko yanayotokana na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu–TAMISEMI (Miundombinu), Mhandisi Rogatus Mativila katika Mkutano wa 30 wa Umoja…

Read More

Wapeni watoto wenu mlo wa asubuhi kabla ya kwenda shule

Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanawapatia watoto wenye umri wa kwenda shule mlo wa asubuhi kabla hawajaenda shule. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Elimu na Mafunzo kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Dkt. Eshter Nkuba wakati akizungumza na wazazi na walezi wa shule ya msingi Unubini iliyopo manispaa ya Temeke….

Read More