Wadau waichambua tume ya Rais Samia kuchunguza matukio ya Oktoba 29
Dar es Salaam. Wadau wa kada mbalimbali nchini Tanzania wamekuwa na maoni mbalimbali juu ya tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuchunguza uvunjifu wa amani uliotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 wakisema muundo wake na aliyeiteuwa inafanya ikose kuaminiwa. Kauli hizo za wadau zinazotoka na hatua ya Rais Samia kuunda…