Wauza mkaa wa miti kukiona Songwe

Songwe. Ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi yanayotajwa kuchangia kushuka kwa uzalishaji wa zao la kahawa, Serikali mkoani Songwe imepiga marufuku mtu yeyote kujihusisha na shughuli za mkaa unaotokana na miti. Imesisitiza kuwa bila kuchukua hatua za haraka na makusudi kwa kuoneana aibu, miaka 10 ijayo dunia inaweza kuharibika na kuondoa sekta ya kilimo hicho…

Read More

TPC yawekeza Sh130 bilioni thamani zao la miwa

Moshi. Kampuni ya TPC Limited imeingia katika mageuzi ya kiuchumi kupitia mradi wa kimkakati wa kuongeza mnyororo wa thamani wa zao la miwa, utakaogharimu dola za Marekani 52 milioni (Sh130 bilioni). Hayo yameelezwa leo Novemba 18, 2025 na Ofisa Mtendaji wa TPC, Jaffari Ally wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea uwekaji wa jiwe la…

Read More

SEKTA YA BIMA NCHINI YAENDELEA KUIMARIKA SAMBAMBA NA MABADILIKO YA KIUCHUMI.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma . Kamishana wa Bima Tanzania Dkt  Baghayo Saqware amesema kuwa Sekta hiyo imezidi kukua sambamba na mabadiliko ya kiuchumi,kijamii na kiteknolojia na ikiwemo ongezeko la matumizi ya teknolojia ambayo imepelekea kuimarisha ushindani katika soko la Bima. Dkt Saqware ameyasema hayo leo Jijini Dodoma November 18,2025 wakati akifungua mafunzo ya siku…

Read More

LUKUVI AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUZIDI KUMUAMINI

Na. Mwandishi Wetu-DODOMA Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Mhe. Willium Lukuvi amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumrudisha kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu. Mhe. Lukuvi ametoa shukrani hizo leo tarehe 18…

Read More

CMSA itakavyoboresha mazingira wezeshi, shirikishi

Dar es Salaam. Mamlaka ya Masoko Mitaji na Dhamana (CMSA) imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi na shirikishi ili sekta za umma na binafsi ziweze kutumia masoko ya mitaji kupata fedha za kutekeleza shughuli na miradi ya maendeleo. Hayo yamesemwa leo Jumanne, Novemba 18, 2025 wakati wa uzinduzi wa iTrust East African Community Large Cap Exchange…

Read More

Programu ya kutoa taarifa muhimu, sahihi kwa wakulima mbioni

Muheza. Wakulima nchini wanatarajia kuanza uzalishaji wa mazao kwa tija kufuatia Wizara ya Kilimo kuandaa programu itakayowawezesha kupata taarifa sahihi kuhusu rutuba iliyomo mashambani mwao pamoja na mbolea inayopaswa kutumiwa. Taarifa hizo zitaanza kutolewa na Serikali kidijitali baada ya wataalamu 45 wa utafiti wa udongo na mbolea kutoka taasisi zilizo chini ya Wizara ya Kilimo,…

Read More