Polisi yathibitisha MC Pilipili amekufa kwa kipigo

Dodoma. Nani kamuua mchekeshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias, maarufu MC Pilipili pengine ndio swali linalogonga vichwa vya wengi kwa sasa. Nani amehusika kwenye mauaji yake na kwa nini amefikia hatua hiyo. Swali hilo linatokana na taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kuthibitisha kwamba, kifo cha MC Pilipili kimetokana na kupigwa.   leo Novemba…

Read More

Dereva bodaboda auawa kwa kukatwa shingo, Polisi yawasaka wahalifu

Shinyanga. Mwendesha bodaboda, Stefano Maziku maarufu kama Doto (25), mkazi wa kitongoji cha Igwesa Kijiji cha Iboja kilichopo Wilaya ya Kipolisi  Ushetu mkoani Shinyanga, amekutwa ameuawa na watu wasiojulikana. Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo leo Novemba 18, 2025 na jeshi hilo linawasaka waliotekeleza kitendo hicho cha uhalifu. Kamanda…

Read More

Gamondi ataja sababu za kuwahi Algeria

BAADA ya kumaliza majukumu yake ndani ya Taifa Stars, kocha Miguel Gamondi ameungana na kikosi cha Singida Black Stars kwa ajili ya kuendelea na maandalizi ya mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CR Belouizdad kutoka Algeria huku akitaja sababu za kuwawahi Waarabu hao. Singida Black Stars inatarajiwa…

Read More

Kocha TMA Stars asikilizia dirisha dogo

KOCHA wa TMA Stars inayoshiriki Ligi ya Championship, Habib Kondo amekiri kuwa kikosi chake kina upungufu baadhi ya maeneo hasa katika safu ya ushambuliaji akisema ndiyo linalompa kazi kubwa zaidi huku akitegemea dirisha dogo kulifanyia marekebisho. Licha ya timu hiyo kucheza soka la kuvutia, lakini TMA Stars imeendelea kuwa butu mbele ya lango la wapinzani,…

Read More