Malengo ya Yusuphu Mhilu Geita Gold
WINGA wa Geita Gold, Yusuph Mhilu amesema anaamini msimu huu ni wa kufa ama kupona kwa timu hiyo katika safari yao ya kurejea Ligi Kuu Bara, huku akisistiza hakuna visingizio. Mhilu amedumu na timu hiyo kwa msimu wa tatu sasa baada ya kujiunga nayo 2023-2024 akitokea Simba, kisha akashuka nayo daraja na msimu uliopita akakipiga…