Wananchi walivyopokea uteuzi wa Dk Gwajima

Dar es Salaam. Katika baraza jipya la mawaziri, miongoni mwa teuzi zilizowakosha Watanzania wengi wa maeneo mbalimbali ni wa Dk Dorothy Gwajima, waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu. Tabia ya kuvaa uhalisia, kuwa mfuatiliaji wa mambo hususan mitandaoni, kujibu na kusimamia hoja huku akiongoza kwa kubebesha watu wajibu wao, vimetajwa kuwa…

Read More

Usalama ziwani: Vyombo visajiliwe, vitambulisho vitumike

Geita. Ofisa Uvuvi wa Wilaya ya Chato, Avodia Sylivester, amesema juhudi za kutoa elimu kwa wavuvi kuhusu tahadhari za kiusalama wanapokuwa ziwani zimechangia kupunguza vifo ambavyo hapo awali vilikuwa vikiripotiwa katika Ziwa Victoria. Akizungumza kuhusu maendeleo ya sekta hiyo, jana Jumatatu Novemba 17, 2025 Sylivester amebainisha kuwa tangu kuimarishwa kwa kampeni za utoaji elimu, hakuna…

Read More

KAMPUNI CHIPUKIZI ZA KIBUNIFU KUTOKA UGANDA WATEMBELEA TANZANIA KUKUZA UBUNIFU WA KIKANDA NA MAHUSIANO YA BIASHARA

 Stanbic Biashara Incubator, kwa kushirikiana na Hindsight Ventures, inaunganisha kampuni bora chipukizi za kibunifu (Startups) kutoka Uganda kufanya ziara ya kwanza ya aina yake nchini Tanzania kwa mafunzo ya kibiashara kikanda.  Juhudi hizi zinadumisha ushirikiano wa ubunifu na biashara kati ya mipaka, na kuiweka Tanzania kama kitovu cha ubunifu wa ujasiriamali kikanda. …

Read More

15 waendelea kupeta naibu uwaziri, wengine 11 hawapo

Dar es Salaam. Kati ya Naibu Mawaziri 25 waliokuwepo katika Baraza la Mawaziri lililomaliza muda wake, 15 wamerejeshwa kutumikia nafasi hizo ingawa baadhi katika wizara tofauti, huku wengine wakipandishwa kuwa mawaziri. Idadi hiyo, inafanya naibu mawaziri wasiorudishwa katika wadhifa huo, ifikie 11. Baadhi wamekosa sifa kwa sababu walishindwa kupenya kwenye kinyang’anyiro cha ubunge na wengine…

Read More

Shule zipike wanafunzi wa kushindana kimataifa

Dar es Salaam. Katika ulimwengu wa leo ambao unazidi kuunganishwa, mipaka ya nchi haipaswi tena kuwa ndio mwisho wa ndoto na matarajio yetu. Kwa miaka mingi, tumekuwa tukishuhudia wanafunzi wetu wakijitahidi kumaliza masomo yao kwa lengo kuu la kutafuta kazi hapa nchini.  Ingawa hili ni jambo la msingi, mtazamo huu wa ndani unaweza kuwa kizuizi…

Read More

UNRWA inaendelea shughuli huko Gaza huku kukiwa na ukosefu wa usalama unaoendelea na uhaba wa huduma muhimu – maswala ya ulimwengu

Philippe Lazzarini, Kamishna Mkuu wa Shirika la Msaada na Kazi la Umoja wa Mataifa kwa Wakimbizi wa Palestina katika Mashariki ya Karibu (UNRWA), waandishi wa habari juu ya huduma za UNRWA katika maeneo ya Palestina na shughuli zinazoendelea za UNRWA. Mikopo: Picha ya UN/Mark Garten na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumanne, Novemba 18, 2025…

Read More