Maelfu hukusanyika jijini Nairobi wakati sayansi inakutana na diplomasia kwa usalama wa sayari – maswala ya ulimwengu

Maonyesho muhimu kutoka kwa ufunguzi wa kikao cha saba cha Mkutano wa Mazingira wa UN (UNEA-7) jijini Nairobi, Kenya. Mikopo: UNEP / Ahmed Nayim Yussuf na Joyce Chimbi (Nairobi) Jumanne, Desemba 09, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Desemba 9 (IPS)-“Hakutakuwa na wakati mzuri zaidi kuliko sasa kuwekeza katika hali ya hewa thabiti, mazingira…

Read More

Mgogoro wa hali ya hewa unasumbua Tamasha la Jumuiya ya Sundarbans, Ustawi – Maswala ya Ulimwenguni

Miaka miwili iliyopita, tawi la mti wa Karam lililoletwa kutoka wilaya nyingine lilikuwa likipandwa katika majengo ya ofisi ya SAMS kando ya barabara ya Shyamnagar-Munshiganj, lakini haikuishi. Mikopo: Rafiqul Islam Montu/IPS na Rafiqul Islam Montu (Satkhira, Bangladesh) Jumanne, Desemba 09, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SATKHIRA, Bangladesh, Desemba 9 (IPS) – Tawi la mti…

Read More

Wimbi la Bahati Laletwa Na Zombie Apocalypse Ndani Ya Meridianbet

MERIDIANBET imeendelea kuwasha moto kwa ubunifu unaompa kila mchezaji sababu ya kurudi kila siku. Safari hii, wamekuja kivingine wakikuletea Zombie Apocalypse, mchezo wa kisasa uliojaa ubunifu unaofanya kila mzunguko kuwa tukio la kusisimua. Ni mchezo unaokupatia nafasi za bonasi zinazoweza kukubadilishia siku moja kwa moja. Kila ukicheza mizunguko 100 unapata hadi mizunguko 50 ya bure…

Read More

Kauli ya Simbachawene wananchi walivyobaki  ndani siku ya Uhuru

Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene amewashukuru Watanzania kwa kuonyesha utulivu na uzalendo katika kuilinda amani ya Tanzania na kudumisha utulivu wakati nchi ikienda kuadhimisha  miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika. Mbali ya kuwasifu Watanzania, Waziri Simbachawe ameelekeza  kesho Jumatano Desemba 10,2025 kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Ameyasema hayo leo Jumanne,…

Read More

HWPL REFLECTING TANZANIA’S MULTI-ETHNIC, MULTI-FAITH CONTEXT AND EXPLORES PATHWAYS FOR DIALOGUE

…………….. HWPL Tanzania hosted the International Religious Peace Academy (IRPA) in Dar es Salaam, bringing together 500 participants including religious leaders, youth groups and community members. HWPL is an UN affiliated international NGO active in peace initiatives across interfaith, youth and civic sectors, and the program aimed to reinforce channels for inter-religious understanding to solidify…

Read More

Huko UN, OSCE anaonya juu ya mmomonyoko wa kanuni za usalama huku kukiwa na migogoro ya Ukraine – maswala ya ulimwengu

Akihutubia mabalozi, Waziri wa Mambo ya nje wa Ufini Elina Valtonen, ambaye kwa sasa anakaa mataifa 57, alielezea mzozo huo kama changamoto ya usalama kwa usalama wa Ulaya katika miongo kadhaa na kushambuliwa moja kwa moja kwa misingi ya Agizo la Kimataifa linalotegemea sheria. “Vita vya Urusi vya uchokozi dhidi ya Ukraine ni vita kubwa…

Read More

Wasanii kikapu ni mchezo wao

NI swali ambalo baadhi ya watu wamekuwa wakijuliza sababu zinazowafanya wasanii wa muziki, waigizaji na wanamitindo kupenda mchezo wa kikapu. Jibu lilikuwa halipatikani ikizingatiwa kuna michezo mingine kama soka, kriketi, tenisi, vinyoya na magongo ambayo hushindwa kwenda kuangalia ikichezwa viwanjani. Lakini, mbali na kupenda mchezo huo, wasanii hao wamekuwa pia wakionekana katika viwanja vya mpira…

Read More

Hali ilivyo mitaani leo Siku ya Uhuru

Dar/mkoani. Watanzania mwaka huu wamesherehekea maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika wakiwa majumbani pamoja na familia zao, hali ambayo ni tofauti na desturi ya wengi kutumia siku hiyo kupumzika kwenye maeneo ya burudani au kushiriki matukio ya hadhara. Mabadiliko hayo yalichochewa na taarifa za kuwepo maandamano yasiyo na ukomo ikiwa ni mwendelezo wa…

Read More