Vigogo CCM waanguka kura za maoni umeya, sura mpya zachomoza

Dar/mikoani. Wakati jiji la Dar es Salaam likipata wagombea wapya wanne wa nafasi ya umeya kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), katika baadhi ya mikoa mingine vigogo wameangushwa. Wagombea wa CCM waliopatikana leo, Desemba 1, 2025 baada ya kushinda kura za maoni zilizofanyika nchi nzima ndani ya mchakato wa chama, sasa wataingia katika uchaguzi utakaowajumuisha pia…

Read More

‘Tunazingatia wanachotaka Watanzania’ | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025, Jaji Mkuu mstaafu, Mohamed Othman Chande amesema anajua utendaji wa tume hiyo utapimwa kitaifa na kimataifa, hivyo imejikita kuzingatia Watanzania wanataka nini. Miongoni mwa mambo waliyobaini amesema Watanzania wanataka  uchunguzi ufanyike kikamilifu,…

Read More

Tume ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29 yaitwa mahakamani

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imewataka mwenyekiti na wajumbe wa Tume ya kuchunguza chanzo matukio ya wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 uliofanyika Oktoba 29, kuhudhuria shauri linalowakabili kesho. Wajumbe wa tume hiyo wameitwa mahakamani hapo kesho Jumanne, Desemba 2, 2025 kufuatia shauri la maombi namba 30210 ya mwaka…

Read More

Mgombea pekee CCM apigiwa kura nyingi za hapana

Bariadi. Mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Bariadi, Mkoa wa Simiyu umemalizika kwa mgombea pekee wa nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, Zebedayo King kupigiwa kura nyingi za hapana. King alikuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo aliyopitishwa na kamati kuu ya CCM, chini ya uenyekiti wa…

Read More

EWURA YANG’ARA SHIMMUTA, YAICHARAZA VIBAYA NEMC

  Pichani: Washambuliaji wa Timu ya EWURA (wenye jezi za bluu) wakishambulia timu pinzani wakati wa mchezo huo leo. MOROGORO.  Timu ya Mpira wa Wavu kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imeendelea kung’ara katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMMUTA) baada ya kuichakaza timu ya Baraza…

Read More