“MALIZENI MWAKA BILA MADENI YA KODI” CG MWENDA

 ::::::::: Walipakodi nchini wametakiwa kutimiza wajibu wao wa kulipa kodi ya mapato awamu ya nne na kuwasilisha ritani za kodi ya ongezeko la thamani kwa wakati ili wamalize mwaka 2025 bila madeni ya kodi hali ambayo itawaepushia riba na adhabu. Rai hiyo imetolewa Desemba 12.2025 na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw….

Read More

Ongezeko la watu laongeza uzalishaji bia, vinywaji

Dar es Salaam. Ongezeko la watu Tanzania limetajwa kuwa sababu ya kuongezeka kwa kwa uzalishaji bia na vinywaji baridi katika viwanda vya nchini kwa miaka mitano mfululizo. Bidhaa hizo mbili pia ndiyo zilizozalishwa kwa wingi na viwanda vya ndani katika mwaka 2024 kuliko bidhaa nyingine zilizotajwa kwa upande wa Tanzania Bara. Ripoti ya Statistical Abstract…

Read More

Wataalamu watoa suluhu ya kudumu tatizo la maji

Dar es Salaam. Uhaba wa maji safi na salama unaoendelea kuitafuna baadhi ya mikoa nchini, umeanza kuibua mjadala miongoni mwa wadau wa mazingira, wakiitaka Serikali kuchukua hatua za haraka na za kudumu, hususan hizi tano za kimkakati. Wadau hao wameonya kuwa bila mikakati madhubuti ya hifadhi ya vyanzo vya maji na uvunaji wa maji ya…

Read More

Ole Millya atangaza kiama kwa viongozi wauza ardhi Simanjiro

Simanjiro. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Ole Millya ametangaza kiama kwa viongozi wa vijiji wenye tamaa ya kuuza ardhi. Ole Millya ambaye pia ni Mbunge wa Simanjiro ameeleza kwamba hawatishi wala kuwaogopesha viongozi wenye tamaa ya kuuza ardhi ya vijiji ila atahakikisha anapambana na wabadhirifu hao. Akizungumza kwenye…

Read More

Ndayiragije apewa faili la Nkane TRA United

MABOSI wa TRA United zamani Tabora United, wanaangalia uwezekano wa kumpata kwa mkopo nyota wa Yanga, Denis Nkane, baada ya mchezaji huyo anayecheza nafasi mbalimbali uwanjani kushindwa kupenya kikosi cha kwanza kutokana na ushindani uliopo. Hatua ya uongozi wa TRA United kuanza msako huo wa kuiwinda saini ya Nkane, unaanza baada aliyekuwa mshambuliaji wa timu…

Read More