Je! Wimbo “Krismasi Nyeupe” utakuwa wito wa ufafanuzi wa hatua ya mabadiliko ya hali ya hewa? – Maswala ya ulimwengu

Krismasi ya theluji inaweza kuwa kitu ambacho hukauka kwenye kumbukumbu katika maeneo mengi ikiwa hatuepuka mabadiliko makubwa ya hali ya hewa. Mikopo: Shutterstock Maoni na Philippe Benoit (Washington DC) Jumatatu, Desemba 15, 2025 Huduma ya waandishi wa habari WASHINGTON DC, Desemba 15 (IPS) – Wakati kila Krismasi inakaribia, wimbo mmoja unaenea katika Airwaves kote Merika…

Read More

MIAKA MITANO IJAYO NI YA MCHAKAMCHAKA WA MAENDELEO KISARAWE

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, akizungumza na Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe alipokutana nao kwa ajili ya kuzungumzia maendeleo ya kisarawe pamoja na kuwashukuru kwa kuchaguliwa katika uchaguzi uliomalizika. Na Alex Sonna, Kisarawe Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, amewaambia Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe kuwa…

Read More

NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025 ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika Mkutano wa 18 wa Pamoja wa Mapitio ya Sekta ya Usafirishaji unaofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), jijini Arusha. Akiwa katika banda hilo, ameitaka TCAA kuendelea kuimarisha utoaji…

Read More

Rais Mwinyi ateua wakuu wa mikoa, manaibu katibu wakuu

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefanya teuzi tano, kati ya hizo wakuu wa mikoa watatu na manaibu katibu wakuu wawili. Katika taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari usiku wa leo Jumatatu Desemba 15, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Zena Ahmed Said imesema wateule wote wataapishwa Jumatano Desemba 17, 2025, saa 8:00 mchana,…

Read More

JAFO: WATUMISHI KISARAWE FANYENI KAZI KWA WELEDI NA USHIRIKIANO

  Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na watumishi  wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe wakati wa ziara yake ya kuwashukuru kwa kazi wanayoifanya katika wilaya hiyo. Na.Alex Sonna-KISARAWE Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, amewahimiza watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe kufanya kazi kwa weledi, bidii na kwa kushirikiana…

Read More

Venezuela inahitaji data zaidi ya ndani kuelewa athari za mabadiliko ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Alicia Villamizar anatoa matokeo ya ripoti ya pili ya kitaaluma juu ya mabadiliko ya hali ya hewa. Mikopo: Margaret López/IPS na Margaret López (Caracas) Jumatatu, Desemba 15, 2025 Huduma ya waandishi wa habari CARACAS, Desemba 15 (IPS) – Kundi la watafiti 55 walikusanyika na kuchambua marejeleo ya biblia 1,260 ya kukusanya ripoti ya pili ya…

Read More

MAKAMU WA RAIS AKIWASILI SONGEA MKOA NI RUVUMA

………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Songea mkoani Ruvuma leo tarehe 15 Desemba 2025. Makamu wa Rais anatarajia kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Marehemu Jenista Joakim Mhagama, yatakayofanyika katika Kijiji cha Ruanda mkoani Ruvuma tarehe 16 Desemba…

Read More

JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza katika kikao cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu kilichofanyika leo Disemba 12,2025 wilayani Kisarawe Mkoani Pwani. Na.Alex Sonna-KISARAWE Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ameanza utekelezaji wa ahadi alizozitoa wakati wa…

Read More

DAVID KIHENZILE AIPONGEZA LATRA KWA MATUMIZI YA TEHAMA KATIKA USAFIRI, AKITEMBELEA BANDARANI YA MAMLAKA HIYO

 ::::::::::  Naibu Waziri wa Uchukuzi,David Kihenzile (Mb), leo Desemba 15, 2025 ametembelea banda la Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) katika maonesho ya Mkutano wa 18 wa Tathmini ya Utendaji wa Sekta ya Uchukuzi, na kushuhudia shughuli za Udhibiti zinazo tekelezwa na LATRA. Akiwa katika banda la mamlaka hiyo, Mhe. Kihenzile ameipongeza LATRA kwa kazi…

Read More