Katika Umoja wa Mataifa, mataifa yanaahidi watu-kwanza siku zijazo za kidijitali, ulinzi mkali wa AI – Masuala ya Ulimwenguni

Mkutano wa ngazi ya juu uliashiria hitimisho la Mkutano wa Kilele wa Dunia wa Jumuiya ya Habari (WSIS+20), mchakato uliozinduliwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 ili kuongoza ushirikiano wa kimataifa kuhusu maendeleo ya kidijitali, ufikiaji na ushirikishwaji, wakati ambapo mtandao ulikuwa unaanza tu kuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku. Miongo miwili baadaye, wajumbe…

Read More

KIWANDA CHA MKULAZI CHATOA MSAADA WA MADAWATI.

Kutokana na upungufu wa madawati katika shule ya sekondari Mvomero, Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kimetoa meza 20 na viti 20 kwaajili ya kupunguza changamoto hiyo ambayo imekuwa kero kwa wanafunzi na waalimu shuleni hapo. Akizungumza mara baada ya kukabidhi madawati Mkuu wa kitengo cha masoko na mauzo kutoka Kiwanda cha sukari Mkulazi Goodluck Kway …

Read More

BUCKREEF GOLD YAIMARISHA USHIRIKIANO NA JAMII KUPITIA UPYA WA MAKUBALIANO YA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Kampuni ya Buckreef Gold imezidi kuimarisha ushirikiano wake na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kupitia makubaliano ya Uwajibikaji kwa Jamii yenye thamani ya TZS 600,000,000, yanayo lenga kuboresha huduma za afya, elimu, maji na usafi wa mazingira kwa jamii zinazoishi maeneo yanayo zunguka mgodi. Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe….

Read More

MEYA ARUSHA ATOA TATHMINI YA ZIARA YA WAZIRI WA TAMISEMI KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Na Pamela Mollel,Arusha  Meya wa Jiji la Arusha, Mheshimiwa Maximilian Matle Iranghe, ametoa tathmini ya ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mheshimiwa Riziki Shemdoe, iliyofanyika mkoani Arusha kwa lengo la kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Jiji la Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 18,…

Read More

Serikali kuwachukulia hatua wavamizi wa malisho ya mifugo

Manyara. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Ng’wasi Kamani, ameonya tabia ya baadhi ya wakulima na wafugaji kuendesha shughuli za kilimo katika maeneo maalumu yaliyotengwa kisheria kwa ajili ya malisho ya mifugo. Amesisitiza kuwa maeneo hayo ni rasilimali muhimu kwa ustawi wa sekta ya mifugo, hivyo ametoa wito kwa wadau wote kuyaheshimu na kuyatunza kwa…

Read More

Kituo cha urithi wa ukombozi Afrika kujengwa Tanzania-MwanaFA

Na Mwandishi wetu TANZANIA imeandika historia nyingine kubwa katika nyanja ya kidiplomasia na utamaduni baada ya kufanikiwa kupitisha ajenda ya kuanzishwa kwa Kituo cha Urithi wa Ukombozi wa Afrika (ALHC) kama Taasisi rasmi ya Umoja wa Afrika (AU), kitakachokuwa na makao yake nchini Tanzania. Ushindi huo umepatikana katika Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Utamaduni,…

Read More