Umuhimu wa kuvaa viatu kwa wenye ugonjwa wa kisukari

Tabia ya kutovaa viatu kwa wenye kisukari ni hatari kwasababu naweza kusababisha madhara ma-kubwa kwenye miguu, ambayo mara nyingine inaweza kuleta matatizo sugu ikiwa hayatachukuliwa tahadhari mapema na kuleta ulemavu wa miguu. Watu wenye kisukari wapo katika hatari kubwa ya kupata vidonda vya miguu kwa sababu kama mgonjwa atashindwa kabisa kudhibiti viwango vya sukari kwa…

Read More

Kunywa kahawa uongeze miaka ya ujana wako

Unywaji wa hadi vikombe vinne vya kahawa kwa siku, huenda ukasaidia kupunguza kasi ya uzee wa kibayolojia kwa watu wanaoishi na maradhi ya akili, utafiti mpya umeonyesha. Matokeo ya utafiti yaliyochapishwa katika jarida la BMJ Mental Health yanaonyesha kuwa unywaji wa vikombe 3–4 kwa siku unahusishwa na urefu wa Telomere yaani viashiria vya seli za…

Read More

Kila mmoja anapaswa kujua haya kuhusu VVU

Virusi vya Ukimwi au VVU huenezwa kwa njia ya kuongezewa damu, kuwa na jeraha la wazi au michubuko na kugusana na damu au maji maji ya mwilini ikiwamo ya sehemau za siri yenye maambuki-zi wakati wa kujamiana. VVU vinaweza kuwapo kwa kiasi kidogo sana katika machozi na mate. Ili kuambukizwa kwa njia ya ma-te, itahitajika…

Read More

RC TANGA DKT.BATILDA BURIAN ATAKA KAZI ZIFANYIKE USIKU NA MCHANA MRADI UJENZI WA BWAWA LA UMWAGILIAJI MKOMAZI

Na Oscar Assenga, KOROGWE. MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amemtaka Mkandarasi anayesimamia mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Umwagiliaji la Mkomazi wilayani Korogwe unao gharimu kiasi cha Bilioni 18.6 kuongeza nguvu kazi ya kutosha ikiwemo kufanya kazi usiku na mchana ili kuhakikisha unakamilika kwa wakati uliopangwa. Bwawa la Umwagiliaji la Mkomazi linajengwa…

Read More

Watatu kuifuata Taifa Stars leo

TIMU ya taifa, Taifa Stars jana Alhamisi imeondoka kambini jijini Cairo, Misri kwenda Morocco kwa ajili ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, huku mastaa watatu wa timu hiyo waliokuwa wamekwama jijini Dar es Salaam wakitarajiwa kuondoka leo kuifuata. Wachezaji hao watatu waliokuwa wamekwama jijini Dar es Salaam kwa muda wote wakati…

Read More

Mwamba amerudi Msimbazi | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI na nahodha wa zamani wa Simba na timu ya taifa, Taifa Stars, John Bocco ‘Adebayor’ ametajwa kurudishwa tena Msimbazi kwa lengo la kuongeza nguvu benchi la ufundi la timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara na iliyopo makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Nyota huyo wa zamani wa Kijitonyama Rangers, Cosmopolitan na Azam FC, msimu…

Read More

Gamondi aigawa Simba akiaga Singida Black Stars

HUKO mtaani mashabiki na wapenzi wa Simba, wamekaa mkao wa kula kusikilizia ataletwa kocha gani wa kuinoa timu hiyo kwa ngwe zilizosalia za Ligi ya Mabingwa Afrika na ile ya ndani, lakini taarifa mpya ni mabosi wa klabu hiyo kwa sasa wamegawanyika kuhusu kocha Miguel Gamondi. Hesabu kubwa za Simba zipo kwa kocha huyo wa…

Read More

Utata kifo cha binti wa kazi, magari yachomwa moto

Dar/Moro. Sintofahamu imeibuka kufuatia kifo cha binti wa kazi, Mwanahasan Hamis (18), aliyefariki dunia jijini Dar es Salaam na mwili wake kusafirishwa kwenda Mvomero, Morogoro kwa maziko, baada ya ndugu kudai umeondolewa viungo. Kufuatia tukio hilo lililotokea jana Jumatano, Desemba 17, 2025, katika kijiji cha Lusanga, Wilaya ya Mvomero, magari mawili yaliyotumika kusafirisha mwili huo…

Read More