NAIBU WAZIRI KATAMBI ATEMBELEA OFISI ZA TBS, AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI

 Ameyasema hayo katika ziara yake kwenye Makao Makuu ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Desemba 20,2025 ambapo Mhe.Katambi amewahimiza Watanzania kuendelea kutumia huduma za Shirika hilo. Pia amewatahadharisha wafanyabiashara kuepuka kuisababishia Serikali hasara kwa kukwepa kodi au kuingiza bidhaa duni zinazoweza kuhatarisha afya za wananchi, ikiwemo kusababisha magonjwa hatarishi kama saratani. Mhe. Katambi amesema TBS…

Read More

ADEM NA SLADS KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIELIMU

Dkt. Maulid Maulid Mtendaji Mkuu wa ADEM (wa pili kulia) na Bi. Bertha Mwaihojo (wa kwanza kulia) wakionesha Mkataba wa makubaliano ya kufanya kazi pamoja mbele ya Vyombo vya habari, katika Ukumbi wa Mikutano, hoteli ya Stella Maris. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TLSB na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha SLADS Dkt….

Read More

Maeneo matano yanayoiingizia fedha Tanzania

Dar es Salaam. Tanzania inaendelea kurekodi ongezeko la mauzo ya bidhaa zake katika masoko ya nje mwaka hadi mwaka, hali inayoakisi kuimarika kwa uchumi  na mchango wa sekta mbalimbali katika upatikanaji wa fedha za kigeni. Kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kuna maeneo matano makuu yanayoingiza mapato makubwa zaidi ya fedha…

Read More

JMAT kuwanoa waandishi wake, wakitakiwa kuwa wazalendo

Dar es Salaam. Waandishi wa habari waliopo katika Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) wametakiwa kuwa wazalendo na nchi yao kabla ya kuandika au katangaza habari yoyote. Sambamba na hilo pia wametakiwa kujenga uaminifu mbele ya umma, ili kuweza kuaminiwa na kujitofautisha na watu wengine. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Tumaini Media, January…

Read More