Dkt Mwigulu Aagiza Ziundwe Timu Za Mikoa Za Wakaguzi Wa Miradi – Video
Dkt Mwigulu Aagiza Ziundwe Timu Za Mikoa Za Wakaguzi Wa Miradi – Video – Global Publishers Home Habari Dkt Mwigulu Aagiza Ziundwe Timu Za Mikoa Za Wakaguzi Wa Miradi – Video
Dkt Mwigulu Aagiza Ziundwe Timu Za Mikoa Za Wakaguzi Wa Miradi – Video – Global Publishers Home Habari Dkt Mwigulu Aagiza Ziundwe Timu Za Mikoa Za Wakaguzi Wa Miradi – Video
Dodoma. Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limekana taarifa zinazosambazwa kupitia mitandao ya kijamii zikidai Katibu wa Chadema Kanda ya Kati amekamatwa na vyombo vya dola, likibainisha kuwa madai hayo si ya kweli. Kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa leo Desemba 21,2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gallus Hyera ineeleza kuwa hakukamatwa bali aliitwa kufika…
Dar es Salaam. Mwaka 2025 unaisha kwa kushuhudia mageuzi makubwa katika nyadhifa za juu serikalini na ndani ya vyama vya siasa nchini, hali inayoashiria mwelekeo mpya wa uongozi na utendaji kwa mwaka 2026. Hatua hiyo, pamoja na kuibua matumaini mapya kwa wananchi na wafuasi wa vyama, imeambatana pia na mijadala kutokana na baadhi ya viongozi…
MEYA wa Jiji la Dar es Salaam Nurdin Bilal ‘Shetta’, amesema milango ya ofisi yake iko wazi kwa wasanii na wanamichezo kwa jambo lolote linaliweza kusukuma mbele tasnia hiyo. Aidha amesema, anakusudia kuanzisha timu maalumu ya Jiji la Dar es Salaam na kuiwezesha kucheza ligi mbalimbali ikiwemo Ligi Kuu Tanzania Bara ukiwa ni mkakati wa…
Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema mabadiliko ya jina la Chemba ya Taifa ya Biashara Tanzania (TNCC), ni hatua ya kimkakati inayolenga kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na sekta binafsi katika kukuza uchumi wa Taifa na kufikia Dira ya Maendeleo ya Tanzania 2050. Akizungumza leo Jumapili Desemba 21, 2025 jijini…
…………… Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameongoza Ujumbe wa Tanzania kushiriki katika Mkutano wa Pili wa Jukwaa la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Afrika na Urusi uliofanyika tarehe 19 na 20 Disemba, 2025, jijini Cairo, Misri. Mkutano huo ulihudhuriwa na Mawaziri wa…
UNAWEZA kusema winga Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ gari limewaka akiwa kwao DR Congo kufuatia kasi yake aliyonayo ya upachikaji mabao. Winga huyo Mkongomani aliyewahi kuitumikia Yanga kwa kipindi kifupi alipotua katika dirisha dogo la msimu uliopita akitokea AS Vita na kuondoka mwishoni wa msimu wa 2024-2025 kwa sasa yupo FC Les Aigles du Congo inayoshiriki…
…………………… On December 19, 2025, Heavenly Culture, World Peace, Restoration of Light (HWPL), a UN affiliated international NGO, held an international online forum titled “International Online Forum for the Realization of Peace in the Middle East: Building Sustainable Peace through Community Cooperation. ” The forum brought together former and current officials and civil society representatives…
KIUNGO mshambuliaji wa maafande wa Mashujaa, amesaini mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi mwaka 2027, hivyo, kuzikaushia JKT Tanzania na Namungo ambao walikuwa wanamfuatilia dirisha hili dogo la Januari 2026. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwenyekiti wa Mashujaa, Meja Abdul Tika, amesema wamefikia makubaliano na mchezaji huyo ya kusaini mkataba mpya, kwa sababu alikuwa pia katika…
BEKI wa kati wa Coastal Union, Christopher Oruchum amesema kikosi chao kwa sasa kimeimarika na kinacheza soka la kuvutia, tofauti na hali ilivyokuwa awali kabla ya ujio wa benchi jipya la ufundi chini ya kocha Mohamed Muya. Muya aliyejiunga na Coastal Oktoba 6 mwaka huu akirithi mikoba ya Ali Mohamed Ameir, ameiongoza timu hiyo katika…