2025 ulivyoshuhudia vigogo wakijiondoa | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwaka 2025 unaisha kwa kushuhudia mageuzi makubwa katika nyadhifa za juu serikalini na ndani ya vyama vya siasa nchini, hali inayoashiria mwelekeo mpya wa uongozi na utendaji kwa mwaka 2026. Hatua hiyo, pamoja na kuibua matumaini mapya kwa wananchi na wafuasi wa vyama, imeambatana pia na mijadala kutokana na baadhi ya viongozi…

Read More

Meya ‘Shetta’ kuja na goli la Meya

MEYA wa Jiji la Dar es Salaam Nurdin  Bilal ‘Shetta’, amesema  milango ya ofisi yake  iko wazi kwa wasanii na wanamichezo  kwa jambo lolote linaliweza kusukuma mbele tasnia hiyo.  Aidha amesema, anakusudia kuanzisha timu maalumu ya Jiji la Dar es Salaam  na kuiwezesha  kucheza ligi mbalimbali ikiwemo Ligi Kuu Tanzania Bara ukiwa ni mkakati wa…

Read More

Ikanga Speed anatupia tu DR Congo

UNAWEZA kusema winga Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ gari limewaka akiwa kwao DR Congo kufuatia kasi yake aliyonayo ya upachikaji mabao. Winga huyo Mkongomani aliyewahi kuitumikia Yanga kwa kipindi kifupi alipotua katika dirisha dogo la msimu uliopita akitokea AS Vita na kuondoka mwishoni wa msimu wa 2024-2025 kwa sasa yupo FC Les Aigles du Congo inayoshiriki…

Read More

HWPL LAUNCH OF THE MIDDLE EAST PEACE IMPLEMENTATION COMMITTEE SIGNALS A NEW PHASE OF REGIONAL-LED PEACE COOPERATION

…………………… On December 19, 2025, Heavenly Culture, World Peace, Restoration of Light (HWPL), a UN affiliated international NGO, held an international online forum titled “International Online Forum for the Realization of Peace in the Middle East: Building Sustainable Peace through Community Cooperation. ” The forum brought together former and current officials and civil society representatives…

Read More

Juma Nyenyezi apewa miwili Mashujaa FC

KIUNGO mshambuliaji wa maafande wa Mashujaa, amesaini mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi mwaka 2027, hivyo, kuzikaushia JKT Tanzania na Namungo ambao walikuwa wanamfuatilia dirisha hili dogo la Januari 2026. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwenyekiti wa Mashujaa, Meja Abdul Tika, amesema wamefikia makubaliano na mchezaji huyo ya kusaini mkataba mpya, kwa sababu alikuwa pia katika…

Read More

Beki Mkenya apata tumaini Coastal Union

BEKI wa kati wa Coastal Union, Christopher Oruchum amesema kikosi chao kwa sasa kimeimarika na kinacheza soka la kuvutia, tofauti na hali ilivyokuwa awali kabla ya ujio wa benchi jipya la ufundi chini ya kocha Mohamed Muya. Muya aliyejiunga na Coastal Oktoba 6 mwaka huu akirithi mikoba ya Ali Mohamed Ameir, ameiongoza timu hiyo katika…

Read More