Global Publishers Tunawatakia Watanzania Krismasi Njema
Global Publishers Tunawatakia Watanzania Krismasi Njema – Global Publishers Home Habari Global Publishers Tunawatakia Watanzania Krismasi Njema
Global Publishers Tunawatakia Watanzania Krismasi Njema – Global Publishers Home Habari Global Publishers Tunawatakia Watanzania Krismasi Njema
RIPOTI ya afya ya makipa wawili wa Simba imewashtua mabosi wa klabu hiyo na fasta wameanza msako sokoni kutafuta kipa mpya ili kuja kusimama langoni akishirikiana na Hus-sein Abel ambaye amekuwa akipigishwa benchi na wenzake tangu msimu uliopita. Simba inasaka kipa mpya baada ya ripoti ya makipa kufikishwa kwa kocha mkuu, Steve Bark-er ikionyesha makipa…
Kabla ya uchaguzi wa Disemba 28, Katibu Mkuu Antonio Guterres alitoa wito kwa wananchi wote wa Afrika ya Kati kushiriki kwa amani katika kura hiyo na amezitaka mamlaka kuhakikisha kuwa uchaguzi unafanyika kwa “amani, utaratibu, umoja na wa kuaminika,” kulingana na a kauli iliyotolewa Jumatano na msemaji wake. Aidha ametoa wito kwa wadau na wadau…
KOCHA mkuu mpya wa Simba, Steve Barker yupo katika mapumziko ya sikukuu ya Krismasi na familia yake, lakini mara ya baada ya mapumziko hayo anatarajiwa kuingia nchini wikiendi hii tayari kuanza rasmi kazi ya kuinoa timu hiyo, huku akija na majembe manne ya kumpiga tafu klabuni. Moja ya mashine hizo zitakazotua na Barker aliyekuwa akiinoa…