Somba haitanii, yaanza hesabu mapema

SIMBA inatarajiwa kuupokea ugeni mzito wa kocha mpya, Steve Barker na wasaidizi wake wikiendi hii kabla ya kuanza safari ya kwenda Zanzibar kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026, lakini kuna jambo linaloonekana mabosi wa klabu hiyo hawatanii, ni kuhusu msako wa kipa mpya. Timu hiyo inayoshika nafasi ya tano katika msimamo wa Ligi Kuu…

Read More