Winga Mghana anukia Dodoma Jiji

DODOMA Jiji iko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Coastal Union, Mghana Dennis Modzaka baada ya kikosi hicho na nyota husika kufikia makubaliano. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zilizonaswa na Mwanaspoti zinadai Modzaka kwa sasa anakaribia kujiunga na kikosi hicho katika dirisha dogo la Januari 2026, ambapo mchakato…

Read More

Ndayiragije awasapraizi Chobwedo, Adam adam

HEBU fikiria. Wewe ni mchezaji, inatoka listi ya wanaoanza kikosi cha kwanza katika mechi, jina lako lipo, lakini baada ya dakika 28 tangu kipute kuanza, unaitwa benchi. Nafasi yako anachukua mwingine. Bila shaka utakuwa na maswali mengi yasiyokuwa na majibu. Achana na hilo. Kuna ile listi inatoka, jina lake unajiona unaanzia benchi, kiroho safi unajiandaa…

Read More

Fufuni yaichimba mkwara Simba, kocha ajilipua

MABINGWA mara nne wa Kombe la Mapinduzi, Simba SC, imeambiwa ije kwa tahadhari kushiriki mashindano hayo kwani ratiba ya mechi zao mbili hatua ya makundi hazitakuwa rahisi. Simba iliyopo Kundi B, imetumiwa salamu hizo na wapinzani wake, Fufuni na Muembe Makumbi City ambazo zilipokutana Desemba 29, 2025, matokeo yalikuwa 1-1. Kocha Msaidizi wa Fufuni, Suleiman…

Read More

TFS wakabidhiwa vitendea kazi vya Sh33 bilioni

Dodoma. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji amekabidhi vitendea kazi vyenye thamani ya Sh3.25 bilioni kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), kwa lengo la kuimarisha ulinzi na uhifadhi wa rasilimali za misitu nchini. Vitendea kazi hivyo vilivyokabidhiwa leo Jumanne, Desemba 30, 2025 katika makao makuu ya TFS jijini Dodoma ni pamoja…

Read More

Mahakama yaamuru kesi dawa za kulevya kuanza upya

Arusha. Mahakama ya Rufaa nchini imefuta hukumu ya kifungo cha maisha jela aliyokuwa amehukumiwa Rahim Baksh Marabzay, baada ya kukiri kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini yenye uzito wa kilo 41.713 yenye thamani ya zaidi ya Sh2.085 bilioni. Pia, mahakama hiyo imeamuru kesi hiyo irejeshwe Mahakama ya Hakimu Mkazi kwa ajili ya…

Read More

Upigaji kura waendelea Siha, matokeo kutangazwa kesho

Siha. Shughuli ya upigaji kura kumchagua Mbunge wa Jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro inaendelea katika maeneo mbalimbali jimboni humo, huku wananchi 88,000 wanatarajiwa kupiga kura katika vituo 230 vya kupigia kura. Uchaguzi huo ulisogezwa mbele baada ya aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Daudi Ntuyehabi kufariki dunia Oktoba 7, 2025,…

Read More