Ushirikiano duni kwenye kilimo, chanzo migogoro ya familia

Iringa. Dawati la jinsia Mkoa wa Iringa limesisitiza kuwa kuimarisha ushirikiano wa kifamilia ni njia madhubuti ya kupunguza migogoro na vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii za wakulima. Kauli hiyo imetolewa leo Jumanne Desemba 30, 2025, na Mkuu wa Dawati la Jinsia Mkoa wa Iringa, Elizabeth Swai. Swai alikuwa akizungumza na wakulima kwenye mdahalo…

Read More

Waziri mkuu wa zamani wa Bangladesh, afariki dunia

Dar es salaam. Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Bangladesh, Khaleda Zia amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80. Khalenda Zia aliyekuwa Waziri Mkuu wa taifa hilo kwa vipindi tofauti kuanzia mwaka 1991 aliondoka madarakani  mwaka 2024, kufuatia shinikizo la waandamaji wakiwemo wanafunzi wakimtuhumu kwa ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka. Taarifa kutoka uongozi wa…

Read More

DPP awafutia wawili kesi ya kuporomoka kwa jengo Kariakoo

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewafutia kesi na kuwaachia huru washtakiwa wawili kati ya sita waliokuwa wanakabiliwa na  mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia  katika jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka dhidi yao. Waliofutiwa…

Read More

Wachache wajitokeza kupiga kura Fuoni, amani yatawala

Unguja. Licha ya hali ya amani na utulivu kutawala, idadi ndogo ya wananchi imejitokeza kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Fuoni, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Zanzibar. Hadi saa 7:10 mchana, Mwananchi limeshuhudia mwitikio mdogo wa wapiga kura katika vituo mbalimbali vya kupigia kura tangu vilipofunguliwa saa 1:00 asubuhi. Uchaguzi huo unafanyika…

Read More

DPP awatutia wawili kesi ya kuporomoka kwa jengo Kariakoo

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewafutia kesi na kuwaachia huru washtakiwa wawili kati ya sita waliokuwa wanakabiliwa na  mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia  katika jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka dhidi yao. Waliofutiwa…

Read More

Kampasi ya kilimo Lindi kuifungua mikoa ya kusini

Uamuzi wa Serikali  kuanzisha kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mkoani Lindi,  unaanza kubadili taswira ya mkoa huo ambao kwa muda mrefu ulikuwa nje ya mkondo mkuu wa maendeleo ya elimu ya juu. Kampasi hiyo, itakayojikita katika programu za kilimo, sayansi ya udongo, teknolojia na usindikaji wa chakula, biashara za kilimo pamoja…

Read More

Usugu wa vimelea bado tishio nchini

Kuanzia Desemba 2 hadi 5, 2025, Tanzania iliungana na mataifa mengine ya Afrika kwenye mkutano mkubwa wa saba wa African Continental World Antimicrobial Resistance Awareness, ambao mwaka huu umebeba kaulimbiu isemayo “Act now, protect our present, secure our future.” Kauli hiyo imekuja wakati ambao dunia inakabiliwa na janga jipya linalokua taratibu lakini lenye madhara makubwa…

Read More