Malindi upepo umekata visiwani | Mwanaspoti

ULE upepo mzuri ilioanza nao Malindi katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), umekata baada ya kucheza mechi saba mfululizo sawa na dakika 630 bila kuonja ushindi, huku ikielezwa tatizo ni kutimuliwa kwa makocha wasaidizi wawili kikosini. Mabingwa hao wa zamani wa Tanzania na moja ya timu zilizowahi kutamba katika michuano ya CAF miaka ya 1990, walianza…

Read More

Ushahidi butu ulivyomnusuru Bukuku kifungo miaka 20 jela

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mbeya, imemuachia huru Raphael Bukuku, aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa ya kuvunja nyumba na kuiba mali zenye thamani ya zaidi ya Sh3 milioni. Raphael na wenzake watatu( siyo warufani katika rufaa hiyo) walidaiwa kutenda makosa hayo usiku wa Desemba 28,2023 ambapo walivunja nyumba za watu…

Read More

FEDHA ZA BOOST ZALETA MAGEUZI MAKUBWA HANDENI MJI

Na Mwandishi Wetu, Handeni TC HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imefanya ziara ya mafunzo katika Halmashauri ya Mji Handeni kwa lengo la kujifunza utekelezaji wa Mradi wa BOOST unaolenga kuboresha miundombinu ya elimu ya msingi na kupunguza msongamano wa wanafunzi darasani. Katika ziara hiyo, Kamati ya Mradi wa BOOST kutoka Jiji la Tanga ilitembelea miradi…

Read More

Gereza la Kibondo lageukia ubunifu nishati safi ya kupikia

Kigoma. Jeshi la Magereza wilayani Kibondo mkoani Kigoma limeanza kutumia mkaa mbadala unaotokana na mchanganyiko wa randa za miti na udongo unaozalishwa ndani ya gereza hilo, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Serikali la matumizi ya nishati safi ya kupikia. Serikali, kupitia Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia (2024–2034),…

Read More

Mkataba mpya wa Marekani waanza kuing’ata Kenya

Dar es Salaam. Mahakama ya Kenya imesitisha utekelezaji wa mkataba wa msaada wa afya wenye thamani ya Dola 2.5 bilioni za Marekani (Sh6.13 trilioni) uliosainiwa na Marekani wiki iliyopita, kutokana na hofu kuhusu faragha ya data. Hatua hiyo inatokana na kesi iliyofunguliwa na kundi la watetezi wa haki za watumiaji likitaka kuzuia kile kinachodaiwa kuwa…

Read More