Bodaboda watano waliokufa kwa kugongwa na lori watambuliwa

Dodoma. Miili yote mitano ya madereva wa bodaboda waliofariki dunia kwa ajali ya kugongwa na lori lililofeli breki eneo la Dodoma Makulu na kuwaparamia wakiwa kijiweni imetambuliwa na kuchukuliwa na ndugu. Ajali hiyo ilitokea saa 2:30 usiku wa Desemba 11, 2025 wakiwa kwenye kijiwe chao cha Amani, wakisubiri wateja. ‎Waliofariki wametambuliwa kuwa ni Ishadi Jaa…

Read More

Mauwasa yatangaza mgawo wa maji Maswa kutokana na ukame

Maswa. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mjini Maswa (Mauwasa) imetangaza kuanza kwa mgawo wa maji katika Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, kutoka na upungufu wa maji katika vyanzo vyake vya maji, likiwemo bwawa la New Sola, ambalo ndiyo chanzo kikuu cha maji. Akizungumza leo Desemba 13, 2025, na waandishi wa habari, Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

Vigogo kushiriki ibada ya kuaga mwili wa Mhagama

Dodoma. Viongozi mbalimbali Serikali na wabunge wameanza kuwasili katika Kanisa Katoliki Kiwanja cha Ndege kwa ajili ya ibada ya mwisho ya kuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama. Ibada hiyo inatarajia kuhudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi, Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba na viongozi wengine wa…

Read More

Hii hapa ratiba ya mgawo wa maji Dar

Dar es Salaam. Kutokana na uhaba wa maji jijini Dar es Salaam, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira  (Dawasa) imetangaza ratiba ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa mpango wa dharura kwa wakazi wa jiji hilo, hatua inayolenga kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kwa usawa wakati wa changamoto za uzalishaji na usambazaji. Kwa mujibu wa…

Read More

Urithi wa kuishi kwenye hatua ya ulimwengu – maswala ya ulimwengu

UNESCOs Urithi usioonekana wa kitamaduni Programu inazingatia kuweka hai mazoea, maarifa, na maneno ambayo jamii hutambua kama sehemu ya kitambulisho chao cha kitamaduni. Mzunguko mkubwa wa maandishi umehitimisha hivi karibuni na ujumbe ulikuwa wazi: Urithi wa kuishi unanusurika wakati unathaminiwa, kutekelezwa, na kupitishwa. Miaka ya kazi ya utulivu Ndani ya ukumbi huko New Delhi, makofi…

Read More

Pedro ataka mashine tatu Yanga, Dube ahakikishiwa maisha

KOCHA mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves amekingalia kikosi cha timu hiyo kilivyo kwa sasa, kisha akatabasamu kabla ya kuuambia uongozi wa klabu hiyo, umletee mashine mpya tatu amalize kazi, huku akimwashia taa ya kijani mshambuliaji Prince Dube aliyeanza kuwa mtamu uwanjani. Kama hujui, ni kama vile kocha Pedro anataka kutengeneza bomu litakalowalipukia na kuwasambaratisha wapinzani…

Read More

Wagosi wa Kaya waitana kujadili ripoti ya kocha

MABOSI wa Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ wanatarajia kufanya kikao keshokutwa Jumatatu pamoja na kocha mkuu wa timu hiyo, Mohammed Muya kwa nia ya kujadili ripoti ya usajili unaotarajiwa kufunguliwa Januari mwakani. Coastal kama timu nyingine za Ligi Kuu ipo mapumziko kupisha Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 zinazotarajiwa kuanza Desemba 21…

Read More

Mwalimu achukua nafasi ya Sopu AFCON

WAKATI kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kikiendelea na maandalizi ya kushiriki Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2025), kocha mkuu wa kikosi hicho, Miguel Gamondi amefanya mabadiliko kidogo ya kikosi. Gamondi awali aliita wachezaji 28 watakaokwenda kushiriki fainali hizo zitakazoanza Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026, katika nyota hao,…

Read More