Masauni achaguliwa Makamu wa Rais UNEA
Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Hamad Masauni amechaguliwa kuwa makamu wa Rais wa Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEA). Masauni amechaguliwa kushika nafasi hiyo katika mkutano wa saba wa baraza hilo, uliofanyika kwa muda wa wiki moja jijini Nairobi, Kenya. Mbali na Masauni, baraza hilo pia…