Raheem aingia anga za Azam FC

MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC wamefungua mazungumzo na klabu ya Ghazl El Mahalla ya Misri ili kuipata saini ya beki wa kushoto wa kikosi hicho, Mtanzania Raheem Shomary kwa mkopo baada ya nyota huyo kushindwa kuwika katika Ligi ya Misri. Nyota huyo aliyejiunga na El Mahalla, Julai 14, 2025 na kusaini…

Read More

URA yapigwa mkwara mzito Mapinduzi Cup 2026

MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi mwaka 2016, URA kutoka Uganda, wameambiwa wajiandae kupokea kipigo kutoka kwa watetezi wa michuano hiyo, Mlandege ya Unguja. Mkwara huo umepigwa na kocha msaidizi wa Mlandege, Sabri Ramadhan ‘China’ muda baada ya kikosi hicho kuanza kwa kichapo cha mabao 3-1 ilichopata kutoka kwa Singida Black Stars. Desemba 31, 2025, Mlandege…

Read More

Kocha Fufuni macho yote kwa Simba

JANA Jumatatu kuanzia saa 10:15 jioni, vinara wa Ligi Kuu Zanzibar, Fufuni walikuwa uwanjani kucheza dhidi ya Muembe Makumbi City katika Kombe la Mapinduzi 2026, lakini kocha wa kikosi hicho, Suleiman Mohamed ‘Mani Gamera’ alikuwa ameitolea macho Simba. Fufuni kutoka kisiwani Pemba, imepanda daraja Ligi Kuu Zanzibar msimu huu 2025-2026, na kupata nafasi ya kushiriki…

Read More

Taifa Stars ‘do or die’ Morocco

HAKUNA namna. Taifa Stars ina dakika 90 ngumu usiku wa leo mbele ya Tunisia. Ni ushindi pekee ndio unaweza kuifanya timu hiyo isalie Morocco ama ifungashe virago kurudi nyumbani kama ilivyokuwa kwa Botswana, Gabon na Guinea ya Ikweta zilizoaga mapema michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Baada ya kupoteza mechi ya kwanza…

Read More

Yanga yafuata straika Angola | Mwanaspoti

YANGA inaendelea kujifua kwa mazoezi makali kambini, huku ikijiandaa kufunga safari kwenda visiwani Zanzibar kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026, lakini kuna kitu kinaendelea kufanywa na mabosi wa klabu hiyo kimya kimya katika kuimarisha kikosi hicho kilichopo chini ya kocha Mreno, Pedro Goncalves. Katika kufanyia kazi pendekezo la kocha Pedro la kutaka kuletewa straika…

Read More

Kuishi na asili, somo la hali ya hewa kutoka kwa caatinga ya Brazili – Masuala ya Ulimwenguni

Kisima cha kuvuna maji ya mvua kiko kila mahali katika eneo lenye ukame la Brazili, teknolojia ya kijamii ambayo ilipunguza uhaba wa maji kwa wakazi wake. Elizabete Sousa Soares alitaka kuondoka Jatobá wakati binti yake Maria alizaliwa miaka 11 iliyopita, lakini aliamua kukaa katika mji wake mdogo wa mashambani kutokana na kisima na teknolojia nyingine…

Read More