Sababu vifo vya mapema kwa wanaoishi na VVU

Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2024 za Shirika la Afya Duniani (WHO), takribani watu milioni 40.8 walikuwa wakiishi na VVU duniani na watu 630,000 walikufa kutokana na magonjwa yanayohusiana na Ukimwi. Eneo la Afrika ndio ambalo limeathiriwa zaidi, likichangia theluthi mbili ya watu wote wanaoishi na VVU duniani. Hasa nchi za kusini mwa jangwa…

Read More

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MOSHI AANZA RASMI MAJUKUMU.

Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Mhe. John Mapato Meela,(Chui) ameanza rasmi majukumu yake baada ya kuwasili ofisini kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe kushika wadhifa huo. Katika hatua za awali, Meela alifanya kikao kifupi na Mkurugenzi wa Halmashauri, Ndugu Shedrack Mhagama, pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe. Samwel Shao, kujadiliana kuhusu…

Read More

Wenye kisukari wasiache vyakula hivi

Dar es  Salaam. Watu wenye kisukari mara nyingi wanadhani kudhibiti sukari ni kuacha kabisa kula vyakula vya wanga. Hata hivyo, wasichojua ni kuwa kuna vyakula vya wanga vyenye kiasi kidogo sana cha sukari au low Glycemic Index, ambavyo vinaweza kuliwa bila hofu,  bado husaidia kudhibiti viwango vya sukari Vyakula kama mtama, ulezi, uji wa hafrahafi…

Read More

UJENZI JENGO LA KITUO CHA MAFUNZO YA KUONGEZA THAMANI MADINI YA VITO WAANZA JIJINI ARUSHA

■ Ni mkakati wa kuhakikisha madini vito yanaongezewa thamani nchini. ■Ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais.Dkt. Samia katika kuendeleza mnyororo wa madini thamani. ■Waziri Mavunde amtaka mkandarasi kuongeza nguvukazi kukamilisha mradi kwa wakati. ▪️Atoa siku 7 kwa Katibu Mkuu kukutana na wakandarasi,TGC na Taasisi za serikali kwa ajili ya upatikanaji vibali muhimu vya kuendeleza ujenzi….

Read More

Saratani inavyoweza kupona, kuzuka tena

Kenya. Mwaka 2011,  Judy Wanyoike  raia wa Kenya, alianza kupata maumivu ya mgongo na kutokwa na damu ukeni, dalili ambazo hapo awali hakuweza kuzifafanua. Hali hii iliendelea kwa miezi kadhaa hadi mwaka wa 2012 alipoambiwa kuwa alikuwa na saratani ya shingo ya kizazi. “Nilikua nimeenda kwenye semina ya kanisa ya wiki moja huko Naivasha, ambapo…

Read More

Kwa nini muhimu mwanamke kuchunga usafi maliwatoni

Nairobi. Wanawake wengi hukumbwa na maambukizi hasa katika sehemu zao  za siri Hii ni kutokana na desturi ya walio wengi kutozingatia usafi wakiwa maliwatoni au wanapokwenda haja. Matumizi ya choo na jinsi ya kuhakikisha usafi baada ya kumaliza haja kubwa au ndogo, ni mambo yanayofaa kuzingatiwa. Ikumbukwe wanaposhindwa kudumisha usafi, athari zifuatazo zinaweza kujitokeza kama…

Read More