Dk Nyansaho apata warithi PSSSF, Tanesco

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Fortunatus Magambo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF). Kabla ya uteuzi, Magambo alikuwa Mkurugenzi wa Mipango, Uwekezaji na Miradi katika mfuko huo. Sambamba na Magambo, Rais Samia pia amemteua Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),…

Read More

Mhagama akumbukwa wa uchapakazi, viongozi wamlilia

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe na waziri wa muda mrefu, Jenista Mhagama, amefariki dunia akiacha historia ya mwanamke mpambanaji, akitokea kwenye kada ya ualimu hadi kuwa waziri katika awamu tofauti za Serikali. Mhagama, aliyezaliwa Juni 23, 1967, amefariki dunia leo Desemba 11, 2025, ukiwa umepita mwezi mmoja tangu alipoapishwa kuwa Mbunge wa Peramiho (CCM) kwa…

Read More

CEOrt, IUCN waongoza msukumo wa kueneza suluhisho zinazotumia njia za asili kukabilina na mabadiliko ya tabia nchi

Na Mwandishi Wetu Arusha, Tanzania – Jukwaa la Wakurugenzi wa Makampuni nchini (CEOrt Roundtable), kwa kushirikiana na Umoja wa Kimataifa wa Uhifadhi wa Mazingira (IUCN) na wadau muhimu wa utalii, limeandaa Warsha ya Ngazi ya Juu ya kuhamasisha matumizi ya njia za asili (Nature-based Solutions (NbS) jijini Arusha katika mnyororo mzima wa thamani wa utalii…

Read More

Katibu Mkuu mpya wa UN anahitaji baraka za Amerika-au kupigwa kura-maswala ya ulimwengu

Baraza la Usalama katika Kikao. Mikopo: Picha ya UN/Evan Schneider na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa) Alhamisi, Desemba 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Desemba 11 (IPS)-Wakati kulikuwa na uvumi ulioenea kwamba UN chini ya Secretary-General (USG), bidhaa ya vyuo vikuu viwili vya kifahari- Oxford na Cambridge- ilikuwa ikipanga kugombea nafasi…

Read More

Hesabu za Simba zatua kwa kiungo Mrundi

ACHANA na matokeo ya mwisho iliyoyapata dhidi ya Azam FC kwa kukubali kichapo cha mabao 2-0, uongozi wa Simba umeanza mipango ya kuboresha kikosi hicho kimya kimya, ikianza na kiungo Mrundi wa Fountain Gate, Elie Eldinho Mokono. Simba iliyopoteza mechi tatu ya nne ilizocheza hivi karibuni, zikiwamo mbili za kimataifa na nyingine kama hizo za…

Read More

Jonas Mushi: Tujipange kucheza ligi za nje

WAKATI mchezo wa kikapu hapa nchini ukizidi kukua kwa kasi, nyota wa timu ya Stein Warriors Jonas Mushi amewataka wachezaji wazawa wa mchezo huo wasiridhike na kiwango walichonacho. Mushi anayejulikana kwa jina la ‘KD’, amesema cha muhimu zaidi ni wachezaji kuendelea kufanya mazoezi. Amesema kufanya hivyo kutaleta ushindani mkubwa kati ya wachezaji wazawa na wale…

Read More

Kocha Msauzi afunguka ishu ya kutua Simba

WAKATI  kocha wa Stellenbosch, Steve Barker  akipewa nafasi kubwa kurithi mikoba ya meneja, Dimitar Pantev huko Msimbazi, raia huyo wa Afrika Kusini amefunguka kuhusu uvumi huo huku akimtaja Fadlu Davids. Barker, aliyezaliwa Maseru, Lesotho, anatoka katika familia maarufu katika tasnia ya michezo na sanaa. Yeye ni mpwa wa kocha wa zamani wa Bafana Bafana, Clive…

Read More