Wapinzani wa Yanga waanza kwa sare Mapinduzi Cup 2026

TIMU za KVZ na TRA United zilizopo Kundi C la michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 ambalo pia linaijumuisha Yanga, zimetoshana nguvu kwa kutoka sare ya bao 1-1. Mechi hiyo iliyochezwa leo Desemba 29, 2025 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex kisiwani hapa, ilionekana kuwa ya mashambulizi ya kushtukiza kila upande, huku kipindi cha kwanza…

Read More

RC MTANDA APEWA TUZO YA AMANI NA JMAT

………….. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Desemba 29, 2025 amepokea tuzo ya kulinda amani kutoka kwa jumuiya ya maridhiano ya amani Tanzania (JMAT) ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wake katika kuilinda amani kwa kipindi cha mwaka 2025. Wakati akipokea tuzo hiyo Mhe. Mtanda amesema ujio wa JMAT ofisini kwake ni…

Read More

‘Zambia Ina Sheria na Viwango vya Mazingira kwenye Karatasi – Tatizo Ni Utekelezaji Wao’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Jumatatu, Desemba 29, 2025 Inter Press Service CIVICUS inajadili uwajibikaji wa mazingira nchini Zambia na Christian-Geraud Neema, mhariri wa Afrika katika Mradi wa China Global South Project, mpango huru wa uandishi wa habari unaoshughulikia na kufuatilia shughuli za China katika nchi za kusini duniani. Christian-Geraud Neema Kundi la wakulima 176 wa Zambia wamefungua…

Read More

Anaswa akitupa kichanga kwenye paa la nyumba

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia na linaendelea kumuhoji Fahima  Twaibu (19), msaidizi wa kazi za nyumbani  kwa tuhuma za kutupa kichanga chenye jinsia ya kike, kinachokadiriwa kuwa na saa mbili tangu kuzaliwa. ‎‎Msaidizi huyo wa kazi za nyumbani mkazi wa Mtaa wa Balyehela wilayani Ilemela anadaiwa kufanya tukio hilo Desemba 25, 2025 saa…

Read More