Ibenge achekelea rekodi mpya kwa Simba

SIMBA bado wanalaumiana kufuatia kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Azam FC, huku wenzao wanacheka tu na kumfanya kocha Florent Ibenge achekelee  kubadilisha mzimu wa matokeo mabaya dhidi ya Wekundu hao. Iko hivi. Ibenge hajawahi kuifunga Simba ikiwa Tanzania tangu aanze ukocha katika mechi za mashindano walizokutana. Rekodi zinaonyesha, Ibenge amewahi kukutana na Simba mara…

Read More

Mtazamo tofauti vyama vya siasa, sherehe za Uhuru

Dar es Salaam. Wakati ACT Wazalendo na CUF, vikidai maadhimisho ya kusheherekea miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika hayakuwa huru, kutokana na ulinzi kuimarishwa kila kona, baadhi ya vyama vya upinzani vimesifu ulinzi na usalama kutimiza wajibu wao. Desemba 9 ya kila mwaka, Tanzania Bara  inasheherekea Uhuru wake, lakini jana ilikuwa tofauti kwa Watanzania kusalia…

Read More

Wadau waguswa utulivu, amani Desemba 9

Dar es Salaam. Wananchi na wachambuzi wa siasa na jamii wamesema utulivu ulioonekana Jumanne Desemba 9, 2025 unapaswa kuendelezwa ili kuimarisha ulinzi na usalama wa Taifa. Kauli zao zinakuja siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, kutoa wito wa kutunza amani wakati Tanzania ikiadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika. Wakizungumza…

Read More

Tuhuma za uchawi zawaponza watatu, wahukumiwa kunyongwa

Arusha. Hasira hasara. Ni kauli inayoakisi kilichowakuta wakazi watatu wa Murongo, wilayani Kyerwa, Mkoa wa Kagera, baada ya mmoja wao kumtuhumu Jenester Petro kutohudhuria maziko ya mtoto wake kwa kuwa ni mchawi. Nyumba ya Petro ilibomolewa na kuchomwa moto, kisha akapigwa hadi kufa na mwili wake kuteketezwa kwa petroli. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Bukoba imewahukumu…

Read More

Papa Leo XIV ajitosa mgogoro mpya wa Cambodia, Thailand

Jumatano, Papa Leo wa XIV ametoa wito wa kusitisha mara moja mapigano yaliyoshika kasi upya katika mpaka wa Thailand na Cambodia, ambako mapigano ya hivi karibuni yamesababisha vifo wakiwemo raia na kuwalazimu maelfu kukimbia makazi yao. Akihutubia waumini waliokusanyika kwa ajili ya mkusanyiko kuelekea sherehe za mwisho ya mwaka leo Jumatano Desemba 10, 2025, Papa…

Read More