Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 10, 2025
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 10, 2025 – Global Publishers Home Magazeti Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 10, 2025
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 10, 2025 – Global Publishers Home Magazeti Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 10, 2025
BAADA ya kukosekana uwanjani kwa msimu mmoja, beki wa kati wa Pamba Jiji, Abdulmajid Mangalo ameonekana kurejea kwa kasi mpya uwanjani akiisaidia timu hiyo kuvuna pointi 12, huku akitoa mwelekeo wa chama hilo katika Ligi Kuu Bara. Mangalo aliyewahi kutesa na timu kadhaa ikiwamo Biashara United na Singida Black Stars, alijikuta nje ya uwanja kufuatia…
Last updated Dec 10, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amezungumza na Global TV akitoa tathmini ya hali ya ulinzi na usalama jijini Dar es Salaam, ambapo amesema jiji lipo katika utulivu na shughuli za wananchi zinaendelea kama kawaida. Katika mahojiano hayo, Chalamila ameeleza kuwa vyombo vya…
MBEYA City imeshamtambulisha Mecky Maxime kuwa kocha mkuu ili kuanza kazi ya kuirudishia makali timu hiyo, lakini ametua na wawili. Maxime anachukua nafasi ya Malale Hamsini ambaye licha ya kuanza msimu vizuri, lakini ghafla mambo yalibadilika na pande hizo mbili kukubaliana kuachana. Taarifa za ndani kutoka Mbeya City zimelidokeza Mwanaspoti kwamba, Maxime anaweza kuanza kazi…
Gamondi Ataja Kikosi cha Wachezaji 28 Kwa AFCON 2025, Majina Makubwa Yatupwa – Global Publishers Home Michezo Gamondi Ataja Kikosi cha Wachezaji 28 Kwa AFCON 2025, Majina Makubwa Yatupwa
KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema pamoja na nyota wake kumpa matumaini ya kufanya vizuri katika Ligi Kuu Bara msimu huu, lakini amedai kukutana ugumu akiahidi kutumia mapumziko ya kupisha michuano ya Afcon 2025 ili kukiboresha zaidi kikosi hicho. Pia, amesema yaliyotokea msimu uliopita kwa timu hiyo kuponea chupuchupu kushuka daraja hawatarajii yajirudie, akiwashukuru…
Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasmi kwa umma leo Jumatano, Desemba 10, 2025, likielezea hali ya ulinzi na usalama nchini katika saa za asubuhi. Katika taarifa hiyo, Jeshi la Polisi limeeleza kuwa hali ya usalama imeendelea kuwa shwari katika maeneo yote, huku askari wakiendelea kufanya doria na ufuatiliaji wa karibu ili kuhakikisha…
Waziri Simbachawene Awapongeza Askari kwa Kulinda Amani Kufuatia Fununu za Maandamano – Video – Global Publishers Home Global TV Online Waziri Simbachawene Awapongeza Askari kwa Kulinda Amani Kufuatia Fununu za Maandamano – Video
::::::: Jeshi la Polisi nchini Tanzania kwa kushirikiana na Vyombo vingine vya ulinzi na usalama nchini wamewahakikishia wananchi kuwa wataendelea kulinda usalama wa Tanzania sambamba na maisha na mali za wananchi ili waweze kuendelea na shughuli zao kwa amani, utulivu na usalama. Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi Makao Makuu, Naibu Kamishna wa…
Tofauti na makaburi au tovuti za kihistoria, “urithi wa kitamaduni usioonekana” unamaanisha mazoea ya kuishi – mila, ustadi, mila, muziki, ufundi na mila ya kijamii ambayo jamii hupitia kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Kupitia orodha zake, shirika la elimu la UN, shirika la kisayansi na kitamaduni (UNESCO) inafanya kazi na serikali na jamii kukuza mila…