Miaka 64 ya Uhuru: TBN Yasema “Amani Kwanza, Ujenzi wa Taifa Daima”

Leo Desemba 9, tunapoadhimisha miaka 64 tangu Taifa letu lipate Uhuru, Tanzania Bloggers Network (TBN) inawapongeza Watanzania wote kwa kufikia hatua hii muhimu katika historia ya Taifa letu. Hii ni siku ya kutafakari safari tuliyotoka, mahali tulipo, na mwelekeo tunaoujenga kwa pamoja. Waasisi wetu walituwachia zawadi kubwa—Uhuru. Lakini walituonya kuwa Uhuru hauwezi kuwa kamili bila…

Read More

Kitambulisho tiketi ya kuingia, kutoka Chanika Mjini

Dar es Salaam. Eneo la Chanika Mwisho maarufu Chanika Mjini ambalo huwa na pilikapilika nyingi za kibiashara na usafiri wa daladala, leo Jumanne Desemba 9, 2025 lina utulivu usio wa kawaida. Mwananchi limepita maeneo hayo ambayo hadi saa 6:00 mchana yamekuwa na ulinzi mkali wa askari wa Jeshi la Polisi, huku kukiwa na vizuizi pande…

Read More

Kimbunga cha Ditwah kinaacha mamilioni ya kuathirika wakati Sri Lanka inakabiliwa na mafuriko, uhamishaji, na hatari za kiafya – maswala ya ulimwengu

Mnamo tarehe 30 Novemba 2025 huko Kelaniya, Sri Lanka, Boti za Uokoaji za Jeshi la Sri Lanka zilisafirisha wanakijiji waliotengwa karibu na Mto wa Kelani kwenda maeneo salama. Watu walipanda boti zilizobeba vitu vyao muhimu, wakitarajia kutoroka viwango vya mafuriko hatari vinavyozunguka nyumba zao. Mikopo: UNICEF/INCECTchange na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumanne, Desemba 09,…

Read More

Safari ya jasho, machozi na damu kuutafuta Uhuru wa Tanganyika

Katika karne ya 19, ardhi ya Tanganyika ilijumuisha jamii na makabila mbalimbali, wakiishi maisha ya jadi yaliyokuwa ya wakulima na wafugaji.  Yote haya yalifanyika kabla ya kile kilichoitwa: “Mashindano ya Kugawana Afrika,” (The Scramble for Africa). Mwaka 1885, katika mkutano wa Berlin uliohusu kile kilichoitwa: “Mapatano ya Kugawana Afrika,” nchi za Ulaya ziligawana Bara la…

Read More

Muya: Dhidi ya Yanga Tumeshindwa kushikilia bomba

BAADA ya kupoteza pointi tatu dhidi ya Yanga, Kocha mkuu wa Coastal Union, Mohammed Muya amesema kipigo cha Yanga kilichangiwa na wenyewe kushindwa kushikilia bomba, japo ubora wa wachezaji wa timu pinzani umeamua mechi na kufurahia kufanikiwa kimbinu. Coastal imekubali kipigo cha bao 1-0 kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara, iliyopigwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma…

Read More

Prisons yasaka wawili kumaliza uhaba wa mabao

TANZANIA Prisons imesema licha ya matokeo kuwa magumu, lakini inaridhishwa na kiwango bora cha wachezaji na namna wanavyojituma uwanjani, huku benchi la ufundi likianza kusaka nyota wawili wa kuongeza nguvu eneo la ushambuliaji kumaliza tatizo la mabao. Prisons haijawa na matokeo mazuri sana kutokana na pointi saba ilizokusanya katika mechi saba, huku ikiruhusu mabao matano…

Read More

Tafakuri ya fursa na changamoto kwa Watanzania

Uhai wa Tanganyika (sasa Tanzania) kama Taifa huru, umetimiza miaka 64, umri ambao ndani yake kuna mkusanyiko wa mafanikio, mitihani na dhoruba. Ndani ya miaka hiyo, Tanganyika ilijenga misingi yake kwa maono ya pamoja na mfumo wa usawa, utu, amani na mshikamano. Katika kipindi hicho, Taifa limepiga hatua kadhaa mbele kimaendeleo na kiuchumi, hata hivyo…

Read More