Serikali yatoa kauli maandamano ya Desemba 9

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amesema kilichopangwa kufanyika nchi nzima Desemba 9, 2025 sio maandamano bali ni mapinduzi kwa kuwa  hayapo kisheria. Amesema maandamano hayo yanayodaiwa hayana ukomo kufanyika nchi nzima ni kinyume cha sheria kwa kuwa hakuna ombi lolote la kimaandishi la kufanyika maandamano hayo, hakuna anayeratibu na wala…

Read More

CHATO DC YATOA MAPENDEKEZO ELIMU YA JUU CHUO CHA IFM-CHATO

Wananchi wanaoishi kanda ya ziwa wametakiwa kuchangamkia fursa ya elimu kwa kuwapeleka watoto katika chuo cha usimamizi wa Fedha IFM kampasi ya geita kilichopo wilayani Chato. Hayo yamesemwa na mhadhiri na mkurugenzi wa IFM kampasi ya Geita Emmanuel Mtani wakati wa hafla fupi ya kuwatunuku zawadi wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo yao ya kuhitimu nganzi…

Read More

Waziri Kombo akutana na Balozi wa India nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India nchini, Mhe. Bishwadip Dey, katika ofisi ndogo za Wizara, jijini Dar es Salaam, tarehe 06 Desemba, 2025. Mazungumzo hayo yamezingatia maeneo ya ushirikiano zaidi kati ya Tanzania na India, kwa lengo…

Read More

Kuijenga amani hukutana na demokrasia ya dijiti – maswala ya ulimwengu

Mikopo: Roman023_photography / shutterstock.com Maoni na Jordan Ryan Jumatatu, Desemba 08, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Demokrasia iliyoanzishwa ni kuonyesha mikazo ya utawala ambayo ilihusishwa hapo awali na majimbo dhaifu na yaliyoathiriwa na migogoro. Polarization ni kudhoofisha uaminifu wa kitaasisi, kugawanya kanuni za raia, na kupunguza uwezo wa jamii kutatua shida kwa pamoja. Hii…

Read More

MATUMIZI SAHIHI YA TEHEMA KUWAKOMBOA WATANZANIA KIUCHUMI

Na mwandishi wetu,Dar es Salaam. WITO umetolewa kwa watanzania kufanya matumizi sahihi ya tehema katika kubuni bidhaa za kiubunifu zitakazowasaidia kuongeza kipato cha kiuchumi na kutatua changamoto mbalimbali za mazingira yanayowazunguuka. Wito huo umetolewa jijini Dar es Saaam mwishoni mwa wiki na Bw. Jason Ndanguzi akimwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya ICT, Dkt. Nkundwe Mwasaga,…

Read More

MBUNGE MUTASINGWA AWASHAURI WAANDISHI WA HABARI KUIBUA CHANGAMOTO ZA JAMII ILI ZIPATIWE UFUMBUZI

Na Diana Byera,Bukoba Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini mkoani Kagera Mhandisi Johnston Mutasingwa,amewashauri waandishi wa habari wa Manispaa ya Bukoba kuibua habari za uchambuzi  zinazouhusu changamoto zinazowakabili wananchi ili zijulikane na kutafutiwa ufumbuzi wa kina. Pia amewaomba watoe ushirikiano kwa viongozi walioko madarakani kisha kuitangaza miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na serikali…

Read More

Nahodha Geita Gold awashtua wenzake

NAHODHA Msaidizi wa Geita Gold, Saidy Mbatty amewataka wachezaji wenzake kuendelea kucheza kwa ushirikiano mkubwa hadi mwisho wa msimu, kwani kwa kufanya hivyo itakuwa ni njia nzuri ya kufanikisha malengo ya kuirejesha timu hiyo Ligi Kuu. Nyota huyo aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu akitokea Fountain Gate, amesema mwenendo wa timu ni mzuri, ingawa wanahitaji…

Read More