Serikali yaonya ujazaji abiria kwenye vyombo vya baharini

Pemba. Wakati Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ikiendelea kuwataka wamiliki wa vyombo vya usafiri wa baharini kuepuka kubeba abiria kupita kiasi, wazazi na walezi pia wametakiwa kupunguza idadi ya watoto wanaosafiri nao ili kuimarisha usalama wao safarini. Wito huo umetolewa leo, Desemba 29, 2025, na Ofisa Mdhamini wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Ibrahim Saleh…

Read More

Winga Simba aibukia Mlandege | Mwanaspoti

WINGA wa zamani wa Simba, Rashid Juma Mtabigwa, ameonekana akiichezea Mlandege katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inayoendelea kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja, huku kocha msaidizi wa kikosi hicho, Sabri Ramadhan ‘China’ akitoa ufafanuzi wa uwepo wa nyota huyo mchachari. Katika mechi hiyo ambayo Mlandege ilifungwa 3-1 na Singida Black Stars ikichezwa…

Read More

Ibenge atumia dakika 45 kupiga chabo wapinzani

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge hajakaa kinyonge kwani baada ya mechi yao ya kwanza katika Kombe la Mapinduzi iliyopangwa kuchezwa Desemba 28, 2025 dhidi ya URA kusogezwa mbele, akaamua kuitumia siku hiyo kuwasoma wapinzani wake. Azam iliyopangwa Kundi A katika michuano hiyo inayofanyika Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja kabla ya fainali…

Read More

TRC yaongeza safari za SGR baada ya usumbufu kwa abiria

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanzisha safari za ziada za Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kwa lengo la kuwahudumia abiria walioathirika na usumbufu wa safari uliotokea jana, Desemba 28, 2025. Hatua hiyo imechukuliwa kufuatia maelezo ya Wizara ya Uchukuzi kuwa mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini zimesababisha athari katika miundombinu…

Read More

Mapinduzi 2026 kuna vita ya wageni

BAADA jana Jumapili michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 kufunguliwa kwa kuchezwa mechi moja tu kati ya Mlandege na Singida Black Stars, leo Jumatatu zinapigwa mbili ikiwamo ile ya wageni watupu wa michuano hiyo itakayofikia tamati Januari 13 mwakani. Mapema saa 10:15 jioni, Fufuni ya Pemba itacheza dhidi ya Muembe Makumbi ya Unguja ikiwa ni…

Read More

Beki Mghana apewa ‘Thank You’ Namungo

KLABU ya Namungo iko katika hatua za mwisho za kuachana na beki wa kati wa kikosi hicho, Mghana Daniel Amoah, baada ya kudaiwa benchi la ufundi la kikosi hicho haliko tayari kuendelea naye, kufuatia mkataba wake wa mwaka mmoja kumalizika. Nyota huyo alijiunga na Namungo Desemba 15, 2024, akitokea Azam na kusaini mkataba wa mwaka…

Read More

Pina aanika kilichomrudisha Zenji | Mwanaspoti

BAADA ya Mwanaspoti kuripoti taarifa kwamba mshambuliaji Abdallah Idd ‘Pina’ alikuwa ameachana na Pamba Jiji aliyoitumikia kwa miezi sita na kurejesha majeshi yake Zanzibar kujiunga na Muembe Makumbi, nyota huyo ameanika kilichosababisha yeye kurudi visiwani humo. Pina alirejea uwanjani baada ya kuwa majeruhi wa muda mrefu, amesema ni kweli amerudi visiwani Zanzibar kujiunga kwa mkopo…

Read More

Stars katika hesabu za vidole AFCON 2025

SARE ya bao 1-1, iliyoipata Taifa Stars juzi katika Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON), dhidi ya Uganda ‘The Cranes’, imeiweka timu hiyo katika mtego wa kufuzu hatua ya 16 bora, kwa sababu italazimika kuifunga Tunisia kesho, huku ikiiombea Nigeria ‘Super Eagles’, inayoongoza kundi C, ambayo tayari imeshafuzu iifunge pia Uganda. Katika kundi hilo la…

Read More