WPL mzigo umerudi, mechi tatu kupigwa

MZIGO wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) umerudi tena kwa mechi tatu kutarajiwa kuchezwa kesho Jumatatu Desemba 8, 2025, ikiwamo ile ya watetezi wa taji JKT Queens itakayokuwa inakula kiporo dhidi ya Bunda Queens. Mechi nyingine za kesho katika ligi hiyo ni Alliance Girls dhidi ya Fountain Gate Princess, kikiwa pia ni kiporo, huku Tausi…

Read More

Siku 637 za Manula, Simba, Yanga zaguswa Bara

KIPA Aishi Manula amerejea uwanjani akiea na jezi ya Azam. Kwa mara ya kwanza kocha Florent Ibenge alimtumia katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Desemba 3, 2025 dhidi ya Singida Black Stars na jamaa akatoka na clean sheet baada ya timu hizo kushindwa kufungana. Sasa kama hujui ni kwamba mechi hiyo ilihitimisha siku 637…

Read More

Wakazi Dar na kilio cha ulinzi shirikishi

Dar es Salaam. Wakati Serikali za mitaa zikisisitiza ushiriki wa wananchi katika kulinda makazi yao, baadhi ya wananchi wanalalamikia mfumo wa ulinzi shirikishi, wakidai umepoteza mwelekeo. Wamesema mpango wa ulinzi shirikishi umegeuka kutoka kuwa msingi wa usalama wa raia na mali zao na kusababisha mpasuko katika jamii. Miongoni mwa mambo yanayolalamikiwa ni kutozwa fedha za…

Read More

Dube aing’arisha Yanga ikisogelea kileleni

BAADA ya kuanza kwa kusuasua katika Ligi Kuu Bara msimu huu, sasa Prince Dube amefunga mfululuzo baada ya leo Desemba 7, 2025 kuweka kambani bao moja lililoipa Yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Union. Dube amefunga bao hilo pekee dakika ya 87 kwa kichwa akiunganisha krosi ya Duke Abuya. Hiyo ilikuwa ni mechi ya…

Read More

Aweso: Maji ya Ruvu yawe kwa matumizi ya binadamu pekee

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amepiga marufuku matumizi ya maji yanayotoka Mto Ruvu kwa shughuli nyingine zisizo za kibinadamu, akisisitiza kuwa kwa sasa maji hayo yatatumika kwa matumizi ya binadamu pekee hadi hali ya upatikanaji itakapokuwa sawa baada ya mvua kunyesha. Aidha, ameiagiza mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Dawasa) kuhakikisha maji yanayopatikana yanagawiwa…

Read More