Mabula ataja sababu ya kutoanza vizuri Azerbaijan

KIUNGO wa Shamakhi FC, Alphonce Mabula ameeleza sababu za timu hiyo kutoanza vizuri katika Ligi Kuu Azerbaijan msimu huu, akitaja ugumu wa ligi hiyo na ushindani uliopandishwa na timu zinazoshiriki mashindano ya Ulaya. Shamakhi imecheza mechi 13, ikishinda tatu, kutoka sare tano na kupoteza tano, rekodi ambayo imekuwa ikiwatia presha mashabiki. Akizungumza na Mwanaspoti, Mabula…

Read More

WANAJESHI BENIN WATANGAZA KUPINDUA SERIKALI

 :::::::: Jaribio la mapinduzi linaendelea nchini Benin, baada ya kundi la wanajeshi kudai kwamba wamemwondoa Rais Patrice Talon madarakani na sasa wanachukua usimamizi wa nchi. Wanajeshi hao, waliounda kile walichokiita “Kamati ya kijeshi”, walionekana kwenye runinga ya taifa Jumapili asubuhi wakitangaza kwamba wamesitisha katiba, kuvunja serikali na kufuta shughuli za vyama vya siasa. Walijitetea kwa…

Read More

Ni dhahir sasa, Gamondi haiwezi TRA United

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi ni kama haiwezi TRA United (zamani Tabora United) baada ya jana jioni kuendeleza rekodi mbovu mbele ya Watoza Ushuru hao kwa kukubali kichapo cha mabao 3-1 kwenye Uwanja wa KMC Complex Mwenge jijini Dar es Salaam. Kama hujui TRA enzi ikiwa Tabor United ndio iliyompoza Gamondi akapoteza kibarua…

Read More

Siri ya Geita Gold ikisaka pointi 12

GEITA Gold inazidi kuchanja mbuga katika vita ya kupanda daraja kwenda Ligi Kuu msimu huu, huku ikiendelea kugawa vichapo kwa wapinzani na kutuma ujumbe kuwa imejipanga vyema kwa safari hiyo mpya. Timu hiyo inaongoza Ligi ya Championship ikiwa na alama 22 katika michezo minane ikiwa imeshinda saba na sare moja ikifunga mabao 18 na kuruhusu…

Read More

Sikia simulizi ya Bajaber simba

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mohamed Bajaber amesimulia namna alivyokuwa anapitia wakati mgumu kipindi alipokuwa anasumbuliwa na majeraha na ilibaki kidogo aondolewe kikosini bila kuonja mechi ya mashindano. Japokuwa Bajaber alikiri wachezaji wenzake walikuwa wanampa moyo, lakini hilo halikumuondolea kujisikia vibaya na kutamani itokee siku moja acheze mechi ya Ligi Kuu Bara kama alivyopata nafasi dhidi…

Read More

Beki Mtanzania anapambania namba Taifa Stars

BEKI raia wa Tanzania, Jackson Kasanzu anayekipiga Tormenta FC ya Marekani baada ya kuitwa kwa mara ya kwanza kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kitakachowania Fainali ya Mataifa ya Afrika (AFCON), kwake ni jambo la fahari. Fainali hizo zitakazofanyika nchini Morocco kuanzia Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026, timu ya taifa ya…

Read More