SMZ yaahidi kuimarisha sekta ya michezo Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema  itaendelea kutoa ushirikiano katika kuhakikisha sekta ya michezo inaimarika zaidi na kutoa faida chanya kwa wanamichezo. Hayo yamesemwa leo Jumapili Desemba 7, 2025 na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla katika bonanza la mchezo wa mazoezi ya viungo, lililofanyika Kinduni, Kaskazini Unguja.  Hemed amesema, hayo…

Read More

Bao la Dube bado lamliza Kulandana

KIUNGO wa Fountain Gate, Abdallah Kulandana bado anaweweseka na kipigo cha mabao 2-0 ilichopewa timu hiyo na Yanga, huku akilitaja bao la Prince Dube lililotokana na penalti kuwa ndilo lililowatoa mchezoni na kujikuta wakipoteza mechi hiyo inayokuwa ya sita msimu huu. Kipigo hicho kilichopatikana kwenye Uwanja wa KMC kilikuwa cha pili mfululizo kwa timu hiyo…

Read More

Akina mama watatu wa Jamaika wanakabiliwa na siku zijazo baada ya Kimbunga – Maswala ya Ulimwenguni

Wanawake watatu huko Jamaica ambao maisha yao yalisisitizwa na nguvu ya uharibifu ya kimbunga ambacho kiligonga kisiwa cha Karibiani wanatafuta kujenga mustakabali wao. Hapo kabla ya Kimbunga Melissa kuficha Jamaica mwishoni mwa Oktoba 2025, Rose* alichukua watoto wake wawili nyumbani kwa saruji ya rafiki ili kuwaweka salama. Waliporudi asubuhi iliyofuata, kila kitu kilikuwa kimepotea. “Nyumba…

Read More

Jinsi ya kumjengea mtoto kujiamini

Dodoma. Huenda umewahi kukutana na mtu anayefanya kitu kwa umahiri mkubwa lakini bado anakuwa na wasiwasi. Huenda wewe ni mmoja wao. Unafanya kitu vizuri tu lakini bado unahisi hujafanya kama ulivyotarajiwa kufanya. Muda wote unajihisi kama umepungua. Hakuna sifa unayoweza kupewa na ukaipokea. Huamini kuna jema unaweza kulifanya.   Kutojiamini, kwa muktadha wa makala haya,…

Read More

Sababu wanaume kukimbia kuoa warembo

Dar es Salaam. Ni ukweli kwamba wako wanawake wengi wanaoona kuwa kuzaliwa warembo ni baraka na neema ya kipekee. Mara nyingi huzingatiwa kuwa watu wenye mvuto, wanaovutia macho ya wengi na wanaopewa nafasi ya kwanza katika makundi mbalimbali ya kijamii. Hata hivyo, pamoja na baraka hii ya uzuri unaoonekana kwa nje, uko upande mwingine wa…

Read More

Maombi nguvu ya ndoa iliyosahaulika kwa wenza

Mwanza. Katika zama hizi ambapo takwimu za kuvunjika kwa ndoa zinazidi kupanda, mijadala kuhusu nini kimetokea kwenye misingi ya familia imekuwa mingi, lakini wachache wanagusia chanzo kikuu cha kukosekana kwa nguvu ya maombi ndani ya ndoa. Viongozi wa dini na wataalamu wa masuala ya kijamii wanasema, ndoa nyingi zimepoteza ladha ya kiroho na kugeuzwa kuwa…

Read More

Gen-Z wanavyokosoa misemo ya wahenga

Dar es Salaam. Katika siku za hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii kumeibuka mjadala kuhusu misemo mbalimbali wahenga. Mjadala huo unatokana na namna ambavyo kizazi cha sasa maarufu Gen-Z kinavyotafsiri misemo hiyo ya wahenga kwa maana tofauti na iliyokusudiwa na wazee. Kwa mujibu wa Kamusi Kuu ya Kiswahili toleo la pili mhenga ni mtu mwenye…

Read More

CHITALE AHUBIRI UMOJA MKUTANO MKUU WA WADAU MADALE GROUP

 Na John Bukuku – Dar es Salaam Kaimu DAS wa Wilaya ya Kinondoni, Bw. Salumu Chitale, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya, ametumia Mkutano wa Umoja wa Wadau Madale Group uliofanyika Desemba 6, 2025 Jijini Dar es Salaam, kutoa wito wa mshikamano na ushirikiano miongoni mwa wanachama, akisisitiza kuwa ndiyo nguzo ya mafanikio ya kikundi. Amesema kuwa…

Read More

Umeyafikiria maisha ya familia ukifika miaka 60?

Mwanza. Ulishawahi kujiuliza, ukifikisha umri wa miaka 60 au zaidi, nini hasa utakitegemea ili kuishi maisha yenye furaha, afya na utulivu wa moyo? Wengi hudhani familia, watoto au marafiki wa karibu ndio msaada wa uhakika uzeeni. Lakini kwa kiuhalisia, kadri miaka inavyosonga mbele, hali za maisha hubadilika. Uhusiano unapoa, watoto hujishughulisha na maisha yao, na…

Read More