Meya Jiji la Mbeya akemea majungu, atao msimamo

Mbeya. Meya Jiji la Mbeya, Dourmohamed Issa amewataka madiwani  kujenga heshima kwa  viongozi wa chama na Serikali kwa kuhepuka majungu, mifarakano na  kuwa sehemu ya kuijenga halmashauri mpya. Katika hatua nyingine ametangaza msamaha kwa wale walio mkosea kwa kufungua ukurasa mpya wa safari ya miaka mitano na kuwahakikisha kutoa ushirikiano. Issa amesema hayo Desemba 5,…

Read More

Watahiniwa 50,769 wafaulu darasa la saba Zanzibar

Unguja. Watahiniwa 50,769 sawa na asilimia 96.94 wamefaulu katika mtihani wa darasa la saba mwaka 2025. Ufaulu umepanda kwa asilimia 0.28 ikilinganishwa na mwaka 2024, ambao asilimia ya ufaulu ilikuwa 96.66. Vilevile, ufaulu wa chini umepungua kwa asilimia 0.28 ikilinganishwa na asilimia 3.34 mwaka 2024, huku ufaulu wa watahiniwa wa jinsi kike ukiwa juu kwa…

Read More

Chalamila ataja mambo sita yanayolalamikiwa na wananchi

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila ametaja malalamiko sita ya wananchi yanayodaiwa kuongeza chuki baina yao na Serikali, likiwemo suala la utekaji. Mambo mengine ni wananchi kutosikilizwa, ukosefu wa ajira kwa vijana, viongozi kuishi maisha ya starehe, matumizi mabaya ya rasilimali za Serikali na matumizi ya nguvu kupita…

Read More

Polisi yapiga marufuku maandamano Desemba 9

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini, limepiga marufuku maandamano yanayodaiwa kupangwa Desemba 9,2025 nchi nzima, likisema yamekosa sifa za kisheria ya kuruhusiwa kufanyika. Kwa mujibu wa polisi, hadi sasa hakuna barua yoyote iliyofikishwa au kupokelewa na ofisi yoyote ile ya Mkuu wa Polisi Wilaya nchini ya kutoa taarifa kuhusu kufanyika kwa maandamano hayo. Uamuzi…

Read More

Mapigano yaibuka DRC siku moja baada ya usuluhishi wa Trump

DRC. Mapigano yametokea tena Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kuanzia jana Ijumaa, ikiwa siku moja baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kuwakutanisha viongozi wa Congo na Rwanda mjini Washington kutia saini mikataba mipya inayolenga kumaliza mgogoro. Juzi Alhamisi Desemba 5, 2025, Rais wa Congo Felix Tshisekedi na Paul Kagame wa Rwanda walithibitisha…

Read More

WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE

Watu wanne wamekamatwa na madini ya vito katika mtaa wa Togo, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, kufuatia operesheni maalum iliyofanywa na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mahenge kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Wilaya ya Ulanga na uongozi wa Wilaya.Akizungumza na waandishi wa habari mapema jana kwa niaba ya Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini,…

Read More

Ulinzi ulivyoimarishwa Dar | Mwananchi

Dar es Salaam. Ulinzi umeimarishwa. Ni hali inayoonekana dhahiri unapopita katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwa sasa. Kwa kadri siku zinavyosonga ndani ya wiki moja kumekuwa na mabadiliko kwenye baadhi ya mitaa hali ya ulinzi ikiimarishwa, kuelekea Desemba 9, siku iliyotajwa kutakuwa na maandamano. Unaweza kusema kila uchao idadi ya askari…

Read More

Ndemanga Aipongeza ADEM kwa Kuandaa Marathon

MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, amewapongeza Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) kwa kuratibu na kushiriki kikamilifu mbio za marathon zilizolenga kuhamasisha juhudi za kuboresha miundombinu ya elimu katika chuo hicho. Akizungumza leo Desemba 6, 2025, mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mhe. Ndemanga alisema ni muhimu kwa taasisi kama ADEM kutambua nafasi…

Read More