Guede aongeza mzuka Singida Black Stars

BAADA ya kurejea kuitumikia Singida Black Stars, mshambuliaji Muivory Coast, Joseph Guede ameonekana kupandisha mzuka kikosini hapo. Guede ambaye amewahi kucheza Yanga kwa miezi sita msimu wa 2023-2024, kisha muda kama huo ndani ya Singida Black Stars msimu wa 2024-2025, amerejea kwa Walima Alizeti hao na atatambulishwa rasmi pindi usajili wa dirisha dogo utakapofunguliwa Januari…

Read More

Tatizo la afya ya akili lilivyogusa Watanzania 2025

Dar es Salaam. Mwaka 2025 umeweka wazi jeraha lisiloonekana, lakini lenye maumivu makali la afya ya akili miongoni mwa Watanzania. Katika kipindi cha mwaka huu, kumeshuhudiwa ongezeko la matukio ya msongo wa mawazo, sonona, wasiwasi mkubwa na tabia za kujidhuru. Makundi yaliyoathirika zaidi ni vijana na wanafunzi, wafanyakazi wa mijini, pamoja na wanawake wanaobeba mzigo…

Read More

Waziri Mkuu: Kilichotokea sio uzembe

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amesema kuwa upungufu wa maji uliotokea nchini haujasababishwa na uzembe, bali ni matokeo ya hali halisi ya mabadiliko ya tabianchi yanayoikumba dunia kwa ujumla, ikiwemo Tanzania. Dk Mwigulu ametoa kauli hiyo leo Desemba 29, 2025, wakati wa ziara yake ya kukagua vyanzo vya maji katika Mto Ruvu….

Read More

Mvua ya siku mbili yaacha kilio, neema

Dar/Mikoani. Mvua iliyonyesha kwa takribani siku mbili maeneo kadhaa nchini, imesababisha uharibifu wa miundombinu, nyumba kuzingirwa maji na kuathiri safari za treni ya reli ya kisasa (SGR), lakini zikiwa neema kwa baadhi ya sekta. Desemba 26,2025 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), ilitoa angalizo kuhusu uwepo wa vipindi vifupi vya mvua kubwa katika baadhi…

Read More

CCM yafunga kampeni Fuoni ikihimiza wapiga kura kujitokeza

Unguja. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefunga kampeni zake za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Fuoni kwa kuwataka wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura, ili kukipatia ushindi mkubwa na kuendelea na utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Kampeni hizo zimehitimishwa jana Jumamosi jioni Desemba 28, 2025 katika viwanja vya Shule ya Fuoni, zikiongozwa na Mjumbe…

Read More

Butua Maokoto na Meridianbet Leo

LEO hii ni siku nzuri sana kwako mteja wa Meridianbet kwani mechi za Ligi mbalimbali na zile za AFCON zipo kwaajili ya kuhakikisha huondoki patupu. Weka dau lako na uanze safari yako ya ushindi hapa. Tukianza na mechi za AFCON leo hii kutakuwa na mitanange mingi ambapo Equatorial Guinea atakipiga dhidi ya Sudan ambapo takwimu…

Read More

SASA KILA MZUNGUKO UNAMAANA NA MERIDIAN PANDA DELUXE

MERIDIAN PANDA DELUXE ni ushahidi kwamba ubunifu hauhitaji kuwa mgumu ili kuvutia. Mchezo huu umejengwa juu ya wazo la urahisi unaozungumza moja kwa moja na mchezaji. Ubao wa 3×3 hauonekani mdogo, bali unajitokeza kama nafasi ya maamuzi ya haraka, ambapo kila mzunguko una nafasi ya kubadilisha hali ya mchezo kwa muda mfupi. Mara tu unapoanza,…

Read More