Mageuzi, Tanesco ikizindua mita janja

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limezindua mita janja za umeme ambazo zitamwezesha mtumiaji anaponunua umeme unaingia moja kwa moja. Ilivyo sasa baada ya kununua umeme unalazimika kuingiza tokeni kwenye mita au kwa kutumia rimoti. Mita mpya za kielektroniki zina uwezo wa kuwasiliana kimfumo, hivyo kumwezesha mteja kulipia na kuingiza umeme kwenye mita…

Read More

Wanne waliohukumiwa miaka 30 jela waachiwa

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Tabora, imewaachia huru wanne waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kukutwa na hatia ya wizi wa kutumia silaha. Walioachiwa ni Adamu Seleli, Juma Ramadhani, Ramadhani Juma na Hamisi Emmanuel ambao kwa pamoja walihukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Wilaya ya Nzega. Warufani hao…

Read More

Mashirika ya umma yasiyofanya vizuri kufutwa au kuunganishwa

Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Serikali imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa endapo hayatachukua hatua madhubuti za kuboresha utendaji wao. Onyo hilo lilitolewa Ijumaa, Disemba 5, 2025, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais—Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, wakati wa ziara yake…

Read More

Uvamizi wa Israeli na Mashambulio ya Wakaaji yanaongeza shida ya kibinadamu katika Benki ya Magharibi – Maswala ya Ulimwenguni

Kati ya Novemba 25 na 1 Desemba, Wapalestina wanne, pamoja na mtoto mmoja, waliuawa na vikosi vya Israeli, na kuleta Jumla ya Wapalestina waliuawa katika Benki ya Magharibi hadi sasa mwaka huu hadi 227. Karibu nusu ya vifo vyote mnamo 2025 vilirekodiwa katika gavana wa Jenin na Nablus. Shughuli kubwa katika Jenin na Gavana wa…

Read More

Hekaya za Mlevi: Mitandao iwe chachu ya mafanikio

Dar es Salaam. Kila jambo lina umri wake wa kulifanya. Kama vile mtoto anavyoanza kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea hadi kukimbia, maishani mwetu pia kuna mambo mengi yanayofanyika kulingana na wakati husika. Kwa mfano ni lazima uwe na umri fulani ili uweze kuendesha gari. Kuendesha gari na kuoa kunafanana kwenye mambo kadhaa: Ni lazima uwe umetosha…

Read More

Sambo, Meya mpya Kigamboni | Mwananchi

Dar es Salaam. Madiwani 14 wa Halmashauri ya Kigamboni wamemchagua Diwani wa Kata ya Kibada, Amani Mzuri Sambo, kuwa Meya wa Halmashauri hiyo, akichukua nafasi iliyoachwa na Ernest Mafimbo aliyemaliza muda wake wa uongozi. Katika uchaguzi huo uliofanyika leo Desemba 5, 2025, Sambo ambaye alikuwa mgombea pekee, alipata kura 13 za ndiyo na mojawapo ya…

Read More